Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
3/Joseph Well
Tapeli huyu alizaliwa mwaka 1877 na kufariki dunia 1975
Alikuwa ni tapeli maarufu karne ya 20....kafanikisha wizi kibao ukiwepo wa USD 8 Milioni
Alikuwa akikusanya madeni pamoja na wafanyakazi wenzake kisha kuweka kitu kibindoni kidogo kidogo
Jamaa alikuwa bonge la tapeli kiasi akiwa kitaa alikuwa akibadili jina karibia kila siku mara Dr Fulani,mara sijui nini
Keshatapeli watu kibao ikiwemo kujifanya mwekezaji wa kampuni ya mafuta
......
Tapeli huyu alizaliwa mwaka 1877 na kufariki dunia 1975
Alikuwa ni tapeli maarufu karne ya 20....kafanikisha wizi kibao ukiwepo wa USD 8 Milioni
Alikuwa akikusanya madeni pamoja na wafanyakazi wenzake kisha kuweka kitu kibindoni kidogo kidogo
Jamaa alikuwa bonge la tapeli kiasi akiwa kitaa alikuwa akibadili jina karibia kila siku mara Dr Fulani,mara sijui nini
Keshatapeli watu kibao ikiwemo kujifanya mwekezaji wa kampuni ya mafuta
......