Makapuku Forum

Makapuku Forum

c71c09869d7fdbc6ceb9c83d642df72c.jpg
 
6/Papua New Guinea
fd8f4f985cafe239f9c96a9e78394eb1.jpg
81f8b3748539b6b1837301c06203ee26.jpg
ec95c5ffe9082af7e7d6695d7e16fb05.jpg

Hawa waporipori nao kwa ushirikina ni shida
Jamaa wanarogana balaa kiadi cha kuifanya serikali yao itunge sheria kali ili iwe onyo kwao lakini mchawi ni mchawi tu haachi
Mfano katika Enga village wana wake wanne walikimbia kijiji baada ya kuanza kuwindwa kama swala kutokana na tuhuma za kuwangia wanavijiji uchi usiku na mauzauza mengine kibao hivyo ikawa msala kwao
.......
 
6/Papua New Guinea
fd8f4f985cafe239f9c96a9e78394eb1.jpg
81f8b3748539b6b1837301c06203ee26.jpg
ec95c5ffe9082af7e7d6695d7e16fb05.jpg

Hawa waporipori nao kwa ushirikina ni shida
Jamaa wanarogana balaa kiadi cha kuifanya serikali yao itunge sheria kali ili iwe onyo kwao lakini mchawi ni mchawi tu haachi
Mfano katika Enga village wana wake wanne walikimbia kijiji baada ya kuanza kuwindwa kama swala kutokana na tuhuma za kuwangia wanavijiji uchi Usiku hivyo ikawa msala kwao
.......
Mmmmmh dunia kuna mambo
 
6/Papua New Guinea
fd8f4f985cafe239f9c96a9e78394eb1.jpg
81f8b3748539b6b1837301c06203ee26.jpg
ec95c5ffe9082af7e7d6695d7e16fb05.jpg

Hawa waporipori nao kwa ushirikina ni shida
Jamaa wanarogana balaa kiadi cha kuifanya serikali yao itunge sheria kali ili iwe onyo kwao lakini mchawi ni mchawi tu haachi
Mfano katika Enga village wana wake wanne walikimbia kijiji baada ya kuanza kuwindwa kama swala kutokana na tuhuma za kuwangia wanavijiji uchi usiku na mauzauza mengine kibao hivyo ikawa msala kwao
.......
Burudani
 
9/Tanzania
52688bacde5cb37154d1061f9a6e5e71.jpg
dfe5006d3462358957b858b3c787c494.jpg
9e2ddd1bc5332d4294844925d40b6de4.jpg
Ukitaka kujua Watanzania wengi wanaamini katika ushirikina kuliko kumwamini Mungu basi fuatilia thread za njemba fulani zinavyoshabikiwa na hadi kuitwa sijui member mwenye busara zaidi JF kisa tu anaandika zaidi ushirikina na Hivyo kawa maarufu na kuwateka watu
Usijiulize kwanini mauaji ya albino hayakomi...sababu tu tumejikita kwenye ushirikina
Fulani watu wanaweka vipande vya mkaa eti kujikinga na chuma ulete...makanisani nako wachungaji feki wana nguvu za giza
Wanasiasa nao washirikina
Watanzania ni washirikina balaa ndiyo maana CCM haitoki madarakani
.......
Hahahaaa!
Cc mshana jr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom