Makapuku Forum

Makapuku Forum

91a1c4b427c9c0f62baf8a7bb3990760.jpg
End
.
.
.
.
.
Tukutane jioni/usiku kwenye 10 kibwa
Niwatakie mchana mwema
.........
Ubarikiwe mkuu Bitoz
 
Mie alienifanya niingie kapuku ni sakayo jaman huu uzi nikiingia chit chat huwa nauona siingii

Kuna siku tupo MMU na sakayo akaniambia kuna uzi huko chit chat unaitwa mapakuku nikamwambia una nini ujue me nauona sijawahi ingia

Akaniambia huko wana Raisi wao makamu wao na wana vijembe hatari nimetoka kuchungulia huko nikacheka sana tena tulikuwa na Quiqley kwenye huo uzi akatuambia ebu njoeni siku moja msisikie maneno ya kusikia mbona sisi ni watu wazuri

Basi siku isiyokuwa na jina nikaingia nikawambia nimepita kuwasalimia nikamkuta mukongo, kingli mwenyewe na lee nahisi sijui nilikaribishwa vizuri nikawa nikijiskia kuingia naingia

Ila Baba D jamaan ndio tulikutana huku mpaka leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom