Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Utangulizi wa nini shemela asubuhiNdio ukweli huo, utangulizi si uliona asubuhi
Utangulizi wa nini shemela asubuhiNdio ukweli huo, utangulizi si uliona asubuhi
Hutaki cc TV camera eehYaani wewe na dada yako mnanifuatilia nafanya nini jf?
Mama ramanino![]()
Alikuwa na umri wa miaka 26 tu![]()
Mengi yamesemwa kuhusu kifo chake ila kwangu naamini ni cha kawaida tu kama wana damu wengineAlikuwa ni mke wa mfanyabiashara Mohamed Mpakanjia{marehemu) na kujaaliwa mtoto mmoja![]()
....
Salaam mkuu..mualiko hats eid piliHutaki cc TV camera eeh
Kwa bossy lady mgeni..Uzi umetembea ule kuliko Uzi wowote wa utambulisho,kama hamkumfunda kufunga PM,basi huko PM kumejaa mpaka seat zimeisha wengine wamesimamaAlikuwa anakalibisha wageni mchepuko akatafute jukwaa la utambulisho

Ngada noomaa bora mmea Wa bob
Vita dhidi ya dawa za kulevya ni ngumu kufanikiwa sababu ni biashara yenye utajiri mkubwa
Ray C na Chid Benz ndo mateja maarufu bongo na wala siwalaumu maana ndo maisha waliyojichagulia na utani wake wanaujua wenyewe![]()
....
Zi nini?!Asante sana ukizipata tunaomba utufikishie
Minal faidhina mkuu madengeWakuu leo ni sikukuu hivyo ni vizuri tujumuike na familia zetu zaidi, wale wa kipika tulieni mpike mapochopocho,wale wa kulewa tulieni tu mlewe,wale wa viwanja nendeni tu mkajirushe
Mimi kama binadamu mpenda starehe lazima ninywe,niende kiwanja kijirusha n.k hivyo leo hata segment zangu sidhani kama zitakuwepo
Sikukuu kwanza.....mengine hata kesho yatakuwepo
Eid Mubarak wadau
.........
Salama kabisaaSalaam mkuu..mualiko hats eid pili
Sina ufalme wowoteBitoz kwema mfalme wa makapuku
Wapi huko na mie nikamuoneNgoja nipande juuu huko nitafute story sijui kivuruge wangu kaweka
Nilikua huko kumjua mwizi wa jf wa kiume anayetapeli watu jf hii jaman tuweni makini na kuzoeana na watu inasikitisha sana
Bandika banduaa kama kawaidaa leoo ...uku mkiendelea kujibugia pilau sijui ndo mjazo au makinikia lakini yote sawaa.....ewaaaaah mimi nimemuwakilisha binamu kwa mama ashura ila msiulize Ashura ana miaka mingapi.....
Soon
ashura ananyonyaaa mnambemenda mtoto wa watu
Ndio ni mwenyekiti wa timu weka picha na katibu ni JimenaKumbe muso ndio chairman![]()
Anaanzaje sasa kushine kwa mfano?![]()
![]()
pamoja na uchawi wake bado akachemkaa
Wahindi wanatunza sana culture9/Basant
Inajulikana pia kama Vasanta...ni moja kati ya misimu sita ya machipuko(spring) huko nchini India![]()
Ndiyo sherehe kubwa zaidi ya akina singasinga a.k.a bhana kuba au ukipenda waite tu Wahindi
Husherehekewa pia na Wahindi wa Pakistan
.......