Kuna tatizo kwani T Baba D nilimkuta jukwaa la utambulisho anakalibisha wageniYaani wewe na dada yako mnanifuatilia nafanya nini jf?
Atakuwa anatafuta mchepuko huyoKuna tatizo kwani T Baba D nilimkuta jukwaa la utambulisho anakalibisha wageni

Babes..Nimeona comment yake
Ile supuuuu mkuu..TOP TEN
Gongo nililokunywa halijapanda sana kichwani ndio maana nimeamua kushusha kumi kubwa
Leo ni sikukuu ya Idi ampapo Waislamu duniani note wamesherehekea baada ya Siku 30 za kushinda na njaa mchana kutwa
Sasa leo nakuletea sikukuu 10 zinazoadhimishwa na watu wengi zaidi duniani au tuseme sikukuu kumi maarufu zaidi duniani
Karibuni
.......
Ndio ukweli huo, utangulizi si uliona asubuhiShemela ebu niachee
Kazi nzuri mkuu muso..Leo katika Historia:
Segment hii leo inatimiza mwaka mmoja rasmi toka ianzishwe!
Ilianza kama utani utani, ila baada ya kupokea maoni ya wadau hapa ikawa official kila siku ipo pale nipatapo muda na hatimae leo ni mwaka mmoja.
Na hii ndio post ya kwanza ya Segment hii, angalia tarehe na mwaka.
View attachment 530852
Niambie mama watoto wanguHunie wa mie![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Na kweli umeendelea nayoPia, ikafatiwa na post hii, mawazo ya Jimena kuhusu Segment
View attachment 530853
The rest is history...
Kuna mdau alijaribu kuiga na kwenda kuanzisha thread awe anapost lakini akashindwa
Maana kukopi sehemu ni japo moja ila kuandika unachokifahamu ni jambo kingine....akaishia kujikanyagakanyaga tu
Nafikiri unamfahamu
........

AsanteTOP TEN
Gongo nililokunywa halijapanda sana kichwani ndio maana nimeamua kushusha kumi kubwa
Leo ni sikukuu ya Idi ampapo Waislamu duniani note wamesherehekea baada ya Siku 30 za kushinda na njaa mchana kutwa
Sasa leo nakuletea sikukuu 10 zinazoadhimishwa na watu wengi zaidi duniani au tuseme sikukuu kumi maarufu zaidi duniani
Karibuni
.......
Nawe pia mkuuLeo Katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie Sikukuu njema.
Toroka ujee dar live tukule maishaNipo Karatu huku na nipo kazini
Hongera sana mkuu... Mwaka mmoja sio lele mama
Nakumbuka mchawi Jr alianzisha uzi maalumu Ila akafika mahali akasanda.
Hongera sana
pamoja na uchawi wake bado akachemkaaKumbe muso ndio chairman

Eid mubarakNiambie mama watoto wangu
HelloBabes..

Alikuwa anakalibisha wageni mchepuko akatafute jukwaa la utambulishoAtakuwa anatafuta mchepuko huyo![]()