Makapuku Forum

Makapuku Forum

16b0eba066c8bd6e8078a5e435239f45.jpg
e1d3964457f5875ecc2e15537c6eeda6.jpg
Nimewahi kutawaliwa na Wataliano hivyo hata bendera yao ilofanana na ya Italy
8203d815c18dfbf6fb32881b49efbfed.jpg
Ila nafikiri walipata Uhuru kutoka kwa Waingereza
......
Hongera Somali Land
 
2007 - Amina Chifupa anafariki Dunia.

Mtangazaji na Mbunge wa zamani.

Alikuwa ni mmoja wa mastaa maarufu miaka ya mwanzoni mwa 2000.
f7c45f814078fa3b93bb048d5363a4f1.jpg
8e74303d528dfbdeabfdf6cd92407d03.jpg
ccf6d49f5268f80b518587ee24d0eaf5.jpg
Alikuwa na umri wa miaka 26 tu
Mengi yamesemwa kuhusu kifo chake ila kwangu naamini ni cha kawaida tu kama wana damu wengine
e647198d5c3f2d89fecefb91c4dbd6a5.jpg
Alikuwa ni mke wa mfanyabiashara Mohamed Mpakanjia{marehemu) na kujaaliwa mtoto mmoja
....
 
1a71daff87fde9f2232585e466bb5f37.jpg
7a43412bc4784cfb7c4e733e9e58c461.jpg
Alifariki dunia 1973 akiwa na miaka 65
Huo Ndo mwaka pia aliopinduliwa hivyo nafikiri aliuawa au kifo chake kina mkono wa mtu
82cd6843d57b1d84deb1d29fbcd79daf.jpg
434c1b92fbcdc462ffd70dd8940e29f3.jpg
Hao Ndo Wamarekani Wazee wa permanent interests not friends kila vurugu wapo
Mapinduzi ya kumweka kibaraka wao Augustino Pinochet yalifanyika mwaka 1973 yakiongozwa na CIA kupitia kitebgo chao cha weledi
.....
Aliamua kujiua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom