BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
HBD Filepe Melo1983 - Felipe Melo anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Brazil.
HBD Filepe Melo1983 - Felipe Melo anazaliwa.
Kiungo wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Brazil.
Una maswali mengi kwani we ni polisi!!!Leo sikukuu wewe uko kazini, ni polisi au muuguzi?

HBD Samir Nasri1987 - Samir Nasri anazaliwa.
Kiungo mshambuliaji / winga wa zamani wa Arsenal, Kwasasa yupo Man city na timu ya taifa ya Ufaransa.
Hongera Somali Land
Nimewahi kutawaliwa na Wataliano hivyo hata bendera yao ilofanana na ya Italy![]()
Ila nafikiri walipata Uhuru kutoka kwa Waingereza![]()
......
HBD Joel Campbell1992 - Joel Campbell anazaliwa.
Winga wa klabu ya Arsenal.
HBD Ariana Grande1993 - Ariana Grande anazaliwa.
Mwanamuziki kutoka Marekani.
RIP Marc Vivien Foe2003 - Marc Vivien Foe anafariki Dunia.
Alikuwa ni mchezaji wa Man city na timu ya taifa ya Cameroon.
Pumzika kwa Amani Amina Chifupa daima tunakukumbuka2007 - Amina Chifupa anafariki Dunia.
Mtangazaji na Mbunge wa zamani.
Alikuwa ni mmoja wa mastaa maarufu miaka ya mwanzoni mwa 2000.
Mapambano yaendelee kizazi kitapotea tusipo kuwavwaangalifu,namwba Mungu afanikishe mapambano- Siku ya Kimataifa ya Kupambana na dawa haramu za Kulevya.
Mbarikiwe wakuubsikukuu njema asante sana kwa historiaLeo Katika Historia:
Sina la ziada, niwatakie Sikukuu njema.
2007 - Amina Chifupa anafariki Dunia.
Mtangazaji na Mbunge wa zamani.
Alikuwa ni mmoja wa mastaa maarufu miaka ya mwanzoni mwa 2000.
Asante kwa ufafanuziVyote sawa, uamuzi ni wako na huyo pia sio kwamba unamlipa ni bure kwasababu anahusika hapo. Online pia wapo hivyo be free
RIP Elvis Parsley![]()
Miezi miwili baadaye yaani Agosti 16 anafariki dunia akiwa na umri wa miaka 42![]()
Ndiye baba wa Lisa Presley aliyekuja kuoelewa na Michael Jackson na kuwa miongoni mwa couple maarufu duniani
.....
- Siku ya Kimataifa ya Kupambana na dawa haramu za Kulevya.
Hatari sana aisee
Vita dhidi ya dawa za kulevya ni ngumu kufanikiwa sababu ni biashara yenye utajiri mkubwa
Ray C na Chid Benz ndo mateja maarufu bongo na wala siwalaumu maana ndo maisha waliyojichagulia na utani wake wanaujua wenyewe![]()
....
Jaza ujazwe!HBD Salvador Allende
CIA nao wakamgeuka Agusto
Nakumbuka sana!!Hongera sana mkuu... Mwaka mmoja sio lele mama
Nakumbuka mchawi Jr alianzisha uzi maalumu Ila akafika mahali akasanda.
Hongera sana
Aliamua kujiua.
Alifariki dunia 1973 akiwa na miaka 65![]()
Huo Ndo mwaka pia aliopinduliwa hivyo nafikiri aliuawa au kifo chake kina mkono wa mtu
Hao Ndo Wamarekani Wazee wa permanent interests not friends kila vurugu wapo![]()
Mapinduzi ya kumweka kibaraka wao Augustino Pinochet yalifanyika mwaka 1973 yakiongozwa na CIA kupitia kitebgo chao cha weledi
.....
Eid MubarakSio kwa mtekenyo ule wa jana...!
Utaniuwa wewe mtoto!