Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Nenda kachaji hiyo simu sasa..
Nenda kachaji hiyo simu sasa..
Huo si mwisho..watasoma tuInasikitisha jamaan![]()
Hakuna kitu kama hichoHahaha
Yaani mimba ni kiboko ya wanafunzi
ZABURI 20
BABA asante kutuamsha salama ,asante Kutupa pumzi hii tena bure ,asante kusikia maombi yetu kila iitwapo leo,tunajikbidhi kwako tena siku ya leo tuongoze,tusamehe,tuponye,tubariki ..wasaidie wote wenye changamoto mbalimbali waendelee kukutumaini wewe tu wasikate tamaa.Bariki kila mmoja mahali hapa mpe haja ya moyo wake ,ponya majeraha ya kila mmoja wetu tujifunze upendo wa kweli na kusamehe bila sababu.

TupoooKapuku
Ameeeeeeiiiiiiniiiii mama mchungajiZABURI 20
6.Sasa najua kuwa BWANA anamwokoa masihi wake,Atajibu toka mbingu zake takatifu,Kwa matendo makuu ya wokovu Ya mkono wake,Ya mkono wake wa kuume.
7.Hawa wanataja magari na hawa farasi Bali sisi tunalitaja jina la BWANA Mungu wetu.
8.Wao wameinama na kuanguka Hali sisi tumeinuka na kusimama.
9.BWANA ,umwokoe mfalme Utuitikie siku tuitayo
BABA asante kutuamsha salama ,asante Kutupa pumzi hii tena bure ,asante kusikia maombi yetu kila iitwapo leo,tunajikbidhi kwako tena siku ya leo tuongoze,tusamehe,tuponye,tubariki ..wasaidie wote wenye changamoto mbalimbali waendelee kukutumaini wewe tu wasikate tamaa.Bariki kila mmoja mahali hapa mpe haja ya moyo wake ,ponya majeraha ya kila mmoja wetu tujifunze upendo wa kweli na kusamehe bila sababu.
Asante kwakuwa utatenda sawasawa na mapenzi yako
Jina lako libarikiwe
katika jina la Yesu Amen
SIKU NJEMA MBARIKIWE...EID NJEMA NA MAPUMZIKO MEMA![]()
![]()
![]()
![]()
Asante mama mchungaji kwa chakula cha kirohoZABURI 20
6.Sasa najua kuwa BWANA anamwokoa masihi wake,Atajibu toka mbingu zake takatifu,Kwa matendo makuu ya wokovu Ya mkono wake,Ya mkono wake wa kuume.
7.Hawa wanataja magari na hawa farasi Bali sisi tunalitaja jina la BWANA Mungu wetu.
8.Wao wameinama na kuanguka Hali sisi tumeinuka na kusimama.
9.BWANA ,umwokoe mfalme Utuitikie siku tuitayo
BABA asante kutuamsha salama ,asante Kutupa pumzi hii tena bure ,asante kusikia maombi yetu kila iitwapo leo,tunajikbidhi kwako tena siku ya leo tuongoze,tusamehe,tuponye,tubariki ..wasaidie wote wenye changamoto mbalimbali waendelee kukutumaini wewe tu wasikate tamaa.Bariki kila mmoja mahali hapa mpe haja ya moyo wake ,ponya majeraha ya kila mmoja wetu tujifunze upendo wa kweli na kusamehe bila sababu.
Asante kwakuwa utatenda sawasawa na mapenzi yako
Jina lako libarikiwe
katika jina la Yesu Amen
SIKU NJEMA MBARIKIWE...EID NJEMA NA MAPUMZIKO MEMA![]()
![]()
![]()
![]()
Walaaa hamna kibayaAku kwani nafanya nn kibaya kule
Morning mtoto wa MaoGood morning family ....Nawatakiwa waislam wenzetu sherehe nzuri ya Eid ...Amani na upendo utawaleee...
Ukiwa huna kitu halafu unaishi ukweni. Unaweza kujikuta unamsaidia Mama Mkwe kukuna Nazi.

Morning jembeMorning mtoto wa Mao
Morning husna
Mmh...kwenye mfungo huwa sizihesabu, huwa ananiambia mwenyewe. kwa whatsapp