Makapuku Forum

Makapuku Forum

c8c9e8c2e5b293049bfc4d1039caaa24.jpg
Nenda kachaji hiyo simu sasa..
 
ZABURI 20

6.Sasa najua kuwa BWANA anamwokoa masihi wake,Atajibu toka mbingu zake takatifu,Kwa matendo makuu ya wokovu Ya mkono wake,Ya mkono wake wa kuume.

7.Hawa wanataja magari na hawa farasi Bali sisi tunalitaja jina la BWANA Mungu wetu.

8.Wao wameinama na kuanguka Hali sisi tumeinuka na kusimama.

9.BWANA ,umwokoe mfalme Utuitikie siku tuitayo

BABA asante kutuamsha salama ,asante Kutupa pumzi hii tena bure ,asante kusikia maombi yetu kila iitwapo leo,tunajikbidhi kwako tena siku ya leo tuongoze,tusamehe,tuponye,tubariki ..wasaidie wote wenye changamoto mbalimbali waendelee kukutumaini wewe tu wasikate tamaa.Bariki kila mmoja mahali hapa mpe haja ya moyo wake ,ponya majeraha ya kila mmoja wetu tujifunze upendo wa kweli na kusamehe bila sababu.

Asante kwakuwa utatenda sawasawa na mapenzi yako

Jina lako libarikiwe
katika jina la Yesu Amen

SIKU NJEMA MBARIKIWE...EID NJEMA NA MAPUMZIKO MEMA
 
ZABURI 20

6.Sasa najua kuwa BWANA anamwokoa masihi wake,Atajibu toka mbingu zake takatifu,Kwa matendo makuu ya wokovu Ya mkono wake,Ya mkono wake wa kuume.

7.Hawa wanataja magari na hawa farasi Bali sisi tunalitaja jina la BWANA Mungu wetu.

8.Wao wameinama na kuanguka Hali sisi tumeinuka na kusimama.

9.BWANA ,umwokoe mfalme Utuitikie siku tuitayo

BABA asante kutuamsha salama ,asante Kutupa pumzi hii tena bure ,asante kusikia maombi yetu kila iitwapo leo,tunajikbidhi kwako tena siku ya leo tuongoze,tusamehe,tuponye,tubariki ..wasaidie wote wenye changamoto mbalimbali waendelee kukutumaini wewe tu wasikate tamaa.Bariki kila mmoja mahali hapa mpe haja ya moyo wake ,ponya majeraha ya kila mmoja wetu tujifunze upendo wa kweli na kusamehe bila sababu.

Asante kwakuwa utatenda sawasawa na mapenzi yako

Jina lako libarikiwe
katika jina la Yesu Amen

SIKU NJEMA MBARIKIWE...EID NJEMA NA MAPUMZIKO MEMA
Ameeeeeeiiiiiiniiiii mama mchungaji
 
5605f6681680215a13a662bc0aec1b23.jpg



Mchezaji wa Kimataifa na kipenzi cha wana-Simba wengi Emmanuel Okwi leo amesaini rasmi kandarasi ya miaka miwili kuichezea klabu ya Simba.



Akisaini kandarasi hiyo mbele ya makamu wa Rais Geofrey Nyange 'Kaburu', Okwi ameahidi kuhakikisha anapambana akishirikiana na kikosi kizima cha Simba kuhakikisha Simba inafanya vizuri kwenye ligi kuu na hata kwenye mechi za kimataifa.

'Ahadi yangu ni kwamba nitashirikiana na wachezaji wenzangu kuhakikisha tunawapa furaha wana-Simba wote kwa kupata matokeo mazuri katika michuano yote klabu ya Simba itakayoshiriki' alisema Okwi alipoulizwa na na Simba News kuhusiana na ahadi yake kuelekea msimu ujao.
 
ZABURI 20

6.Sasa najua kuwa BWANA anamwokoa masihi wake,Atajibu toka mbingu zake takatifu,Kwa matendo makuu ya wokovu Ya mkono wake,Ya mkono wake wa kuume.

7.Hawa wanataja magari na hawa farasi Bali sisi tunalitaja jina la BWANA Mungu wetu.

8.Wao wameinama na kuanguka Hali sisi tumeinuka na kusimama.

9.BWANA ,umwokoe mfalme Utuitikie siku tuitayo

BABA asante kutuamsha salama ,asante Kutupa pumzi hii tena bure ,asante kusikia maombi yetu kila iitwapo leo,tunajikbidhi kwako tena siku ya leo tuongoze,tusamehe,tuponye,tubariki ..wasaidie wote wenye changamoto mbalimbali waendelee kukutumaini wewe tu wasikate tamaa.Bariki kila mmoja mahali hapa mpe haja ya moyo wake ,ponya majeraha ya kila mmoja wetu tujifunze upendo wa kweli na kusamehe bila sababu.

Asante kwakuwa utatenda sawasawa na mapenzi yako

Jina lako libarikiwe
katika jina la Yesu Amen

SIKU NJEMA MBARIKIWE...EID NJEMA NA MAPUMZIKO MEMA
Asante mama mchungaji kwa chakula cha kiroho
Ubarikiwe sana na sikukuu njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom