Makapuku Forum

Makapuku Forum

ZABURI 20

1.Mwenyezi MUNGU akujibu uwapo taabuni;jina la MUNGU wa Yakobo likulinde.

2.Akupelekee msaada kutoka hekaluni mwake;kutegemeze kutoka mlima Siyoni.

3.Azikumbuke sadaka zako zote;azikubali dhabihu zako za kuteketezwa .

4.Akujalie unayotamani moyoni mwako,aifanikishe mipango yako yote .

5.Tutashangilia kwa ajili ya ushindi wako ;tutatatweka bendera tukilitukuza jina la Mungu wetu ,Mwenyezi -Mungu akutimizie maombi yako yote!

MUNGU BABA WA MBINGUNI asante kwa siku ya leo,tunaomba toba kwa yote tuliyokosea kwa mawazo,maneno,matendo uturehemu twakusihi usiku huu tunajikabidhi mikononi mwako ituzingire,damu takatifu ya Yesu Kristo itufunike na inene mema,malaika walinzi wazunguke nyumba zetu na vitanda vyetu watulinde na kutuangalia usiku kucha watuepushe na mabaya yote,hila na uovu wa shetani,na BABA tunaomba utuamshe asubuhi salama.

Asante BABA maana utatenda sawa na mapenzi yako katika jina la Yesu Kristo Amen.

USIKU MWEMA MBARIKIWE

Asante kwa sala BH
Usiku mwema kwako. Njozi njema
 
ZABURI 20

1.Mwenyezi MUNGU akujibu uwapo taabuni;jina la MUNGU wa Yakobo likulinde.

2.Akupelekee msaada kutoka hekaluni mwake;kutegemeze kutoka mlima Siyoni.

3.Azikumbuke sadaka zako zote;azikubali dhabihu zako za kuteketezwa .

4.Akujalie unayotamani moyoni mwako,aifanikishe mipango yako yote .

5.Tutashangilia kwa ajili ya ushindi wako ;tutatatweka bendera tukilitukuza jina la Mungu wetu ,Mwenyezi -Mungu akutimizie maombi yako yote!

MUNGU BABA WA MBINGUNI asante kwa siku ya leo,tunaomba toba kwa yote tuliyokosea kwa mawazo,maneno,matendo uturehemu twakusihi usiku huu tunajikabidhi mikononi mwako ituzingire,damu takatifu ya Yesu Kristo itufunike na inene mema,malaika walinzi wazunguke nyumba zetu na vitanda vyetu watulinde na kutuangalia usiku kucha watuepushe na mabaya yote,hila na uovu wa shetani,na BABA tunaomba utuamshe asubuhi salama.

Asante BABA maana utatenda sawa na mapenzi yako katika jina la Yesu Kristo Amen.

USIKU MWEMA MBARIKIWE
Amen, Asante mama mchungaji kwa neno la usiku
 
Najua aunt na kwa hilo nakupa heshima sana. Naamini katika jokes kama sehemu ya kumaliza siku na kuianza siku. Unajua kabisa nakupenda na siku moja, siku moja, tutaweza kutiana machoni na pedeshee ataangusha moja moja kiutaratibu siku hiyo hakuna makinikia wala majirani zangu wahamiaji haramu.
Utamkaribisha na BH basi😉
binamu jamaan pedeshee itabidi uongee nae wewe sasa binamu akubali si unamjua mjomba ako kichwa chake bh hana shida nilishamwambia nahitaji kuonana nae inabidi tupange siku binamu kweli ujue
 
binamu jamaan pedeshee itabidi uongee nae wewe sasa binamu akubali si unamjua mjomba ako kichwa chake bh hana shida nilishamwambia nahitaji kuonana nae inabidi tupange siku binamu kweli ujue


Ha hahahhaha, nitaongea naye. Mjomba wangu tunaelewana sana (kwenye mambo ya msingi kama mikutano nk) atakubali. Serious hata mimi nitapanga siku tukutan japo kunywa kahawa na kashata
 
Ha hahahhaha, nitaongea naye. Mjomba wangu tunaelewana sana (kwenye mambo ya msingi kama mikutano nk) atakubali. Serious hata mimi nitapanga siku tukutan japo kunywa kahawa na kashata
Binamu natamani ifike leo hii siku jamaan sema bh yupo kigamboni sijui inabidi tumfate huko tukakutane nae mitaa ya huko si unajua kigamboni kumetulia sehemu nyingi beach nyingi

Binamu jitahidi basi uongee na mjomba ako akubali jamaani
 
Binamu natamani ifike leo hii siku jamaan sema bh yupo kigamboni sijui inabidi tumfate huko tukakutane nae mitaa ya huko si unajua kigamboni kumetulia sehemu nyingi beach nyingi

Binamu jitahidi basi uongee na mjomba ako akubali jamaani


Kigamboni mbona karibu kabisa, safari ya siku moja tu nimefika! Tunaenda Club kakara au Kishiwani au Mjimwema
 
d39505b8eb492f5fda8df4beea656b63.jpg


Sakayo
Abee my love
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom