Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamuuuuuuuuuuuuuuu
hii kituuu nomaaaaaa...

...yangoyoooo...elookooo .....ototomeeee....
Ngonga ango ya ngoyo....
Ya ngoyo...
Ngonga ango ya ngoyo
Ya ngoyo...
Tango ya ko loba oh ya ngoyo
Eloko oyo eleki diamant ya ngoyo
E somba ba mituka oh Eloko oyo
E somba ba lopango oh Eloko oyo
Poto pé mikiloh pè na Eloko oyo
Eloko yango nini eh Miziki
Eloko yango nini eh Miziki
Na lela oh bisso oyo......
Ba kolo Mbonda oh bisso oyo
Na lela ooh bisso oyo......
Ba kolo Mbonda oh bisso oyo....
Baba D weweeeeeeh
 
Bhinamu ebu kuwa siliasiiii bhasiiii ...ulivonichuniaa pale nkajitoaa ufahamu si unajua tigo yako ulisahau kwenye ile jaketiii niliyokukwapuaa na baridiiii...si nikaitiaaa eti kuitiaaa ...nimeweka on kwenye kinokiaa ntintitiiiii mara sms naiona mama K nkafikiriaa yupiiii ...kuisoma anauliza ile kuku uliyosema akaushee huendiii....nkajitosa mpaka ndanii...nimesema umeitwa kikazii ila alikuwa mtamu..


Yule wa wigi wee achaa si nilivopita kwa mangii nkakuta katundika wigi sijui ndo yeboyeboo tena beii cheeee nkaziweka kwenye mfuko kupelekaa et yeye ana zake special sijui roseeee nini
Hongereni jamaan mtu na binamu yake vidumeeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom