Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamuuuuuuuu
Asante sana umeufanya usiku wangu kuwa mzuri naipenda sana hii nyimbo acha nikupe mauwa binamu yangu mimi

[emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji253] [emoji254] [emoji257] [emoji254] [emoji254]

Furaha yako ndo furaha ya anko wangu, asante kwa maua aunty, nimeyapenda. Umenifanya kusikiliza muziki mzuri pia

Turudi kwenye maua, mbona umeyachanganyachanganya utasema 'kolija' (nguo zinazotokana na vitambaa tofautivilivyokatwakatwa- yaani kama a coat of many colors)
Husna huwa anayaweka kimpangilio unakubalika hata na TBS
 
Baba D weweeeeeeh [emoji8] [emoji8] [emoji8]
837c2dfb359d1b1643df842fe863d2e7.jpg
 
Back
Top Bottom