Makapuku Forum

Makapuku Forum

Poleni sana

Nadhani Issue za hela ziwe zinafanywa kwa makubaliano ya kisheria sio kwa kuaminiana hivi hivi tu
Tunapofika kwenye suala la pesa ulinzi wa kisheria ni muhim, wengi wamelizwa kozi wanaingia kichwa kichwa, make sure mnaweka mambo kisheria.
Kuungana hatuwezi kukwepa kwa ajili ya kufanya mambo makubwa bandugu
 
Polen sana..Hakika uaminifu umekuwa ZERO kabisa siku hizi ila Bitoz hoja hapa imekuja kwamba kwa wingi wetu hapa na umoja tuliouonyesha kama KUPUKU ni nin tunaweza anzisha ikiwa ni faida ingine kwetu mbali na hii ya kuwa pamoja na kujadili hoja hapa, Wazo lako tafadhali tupo kama Prezdaa CC youngblood
Hilo nalo neno
Kwanza tusione aibu kusema taaluma zetu vilvile ht ambao "sio wasomi" wasijisikie vibaya sababu tunahitaji mawazo yako
Mimi siwezi kusema kifanyike kitu but ISSUE YA PESA tunaweza kuchukua mkopo au kuomba sehemu AID na tukafanikiwa
Ni wazo tu
.....................
 
Hilo nalo neno
Kwanza tusione aibu kusema taaluma zetu vilvile ht ambao "sio wasomi" wasijisikie vibaya sababu tunahitaji mawazo yako
Mimi siwezi kusema kifanyike kitu but ISSUE YA PESA tunaweza kuchukua mkopo au kuomba sehemu AID na tukafanikiwa
Ni wazo tu
.....................
Wakuu tuendelee kutafuna mawazo then tutameza baadae tukipata mwafaka
 
Hilo nalo neno
Kwanza tusione aibu kusema taaluma zetu vilvile ht ambao "sio wasomi" wasijisikie vibaya sababu tunahitaji mawazo yako
Mimi siwezi kusema kifanyike kitu but ISSUE YA PESA tunaweza kuchukua mkopo au kuomba sehemu AID na tukafanikiwa
Ni wazo tu
.....................
Kabisa mkuu youngblood weka kwenye list na hii pia..Na ishu ikianza kuleta mwanga watu watavua fake ID naamin hilo .
 
Hilo nalo neno
Kwanza tusione aibu kusema taaluma zetu vilvile ht ambao "sio wasomi" wasijisikie vibaya sababu tunahitaji mawazo yako
Mimi siwezi kusema kifanyike kitu but ISSUE YA PESA tunaweza kuchukua mkopo au kuomba sehemu AID na tukafanikiwa
Ni wazo tu
.....................
Kweli mkuu taaluma isiwe chanzo cha kujitenga na wengine.
 
Jana nilitoa ahadi.

Shikamooo bibi.
Marhabaaa mwanangu, dawa mmepata? vidole na macho yanauma. Nimechoka mimi, nimechoka mimi nimechoka sana ndiyo maana naomba wanangu/wajukuu mnitafutie mbadala wa JF. Mod ila msinipe ban sababu nitajinyonga. Niache ila nitafutie dawa labda umeme ukatwe kila baada ya masaa mawili esp. wakati huu wa mvua utaenda wapi nasisi wazee tunasubiri kabaridi na kamoto pembeni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom