Makapuku Forum

Makapuku Forum

Marhabaaa mwanangu, dawa mmepata? vidole na macho yanauma. Nimechoka mimi, nimechoka mimi nimechoka sana ndiyo maana naomba wanangu/wajukuu mnitafutie mbadala wa JF. Mod ila msinipe ban sababu nitajinyonga. Niache ila nitafutie dawa labda umeme ukatwe kila baada ya masaa mawili esp. wakati huu wa mvua utaenda wapi nasisi wazee tunasubiri kabaridi na kamoto pembeni.
Pole sana.
 
Issue ya msingi ni kuangalia idea Kwanza then ndio tuje kwenye hizo issue za pesa ila huko kwa PESA ndio iwe issue ya mwsho..

What I believe mtaji ni=70% idea+30%pesa
Nakupendaga bure
Ukiona mtu anajadilijadili pesa ujue ana lake......ukishapanga kitu gani kifanyike tunaweza kwenda ht kwa WAZIRI na tukapewa mtaji
Tutumie akili zetu
....................
 
55e42d45484062448c623a7c21a1da7c.jpg
b4fd11641c31d976feb7c58e08c55aa4.jpg
 
Mie nina idea za kilimo cha Muda mfupi like vitunguu na watermelon... Also I have idea ya ufugaji WA kuku za kisasa hasa WA nyama
Always napenda project za Muda mfupi two months to three months

Project ninayoikubal ya Muda mrefu ni 7 to 10 years ni ya miti ya mbao na poles (mistimu)

So I know Kuna watu watamu WA proposal humu ndani na finance.. We can do something great if we can join together kwauaminifu

Hayo ndio yangu......
Karibuni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom