Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Kuna kikundi tuliungana kwa ajili ya LEGAL ISSUES tukajinyima kwa michango na kuandika PROJECT za kufa mtu ...baada ya kukamilisha si jamaa wakaingia mitini kimyakimya na kufungua kampuni ya watu wa5 na kujiita FOUNDERSUko sawa sana Mumy kwani uaminifu siku hizi umekuwa ni changamoto sana japo nadhani kupitia dhana hiyo basi na watu wakipatikana wa kutosha wanaweza anzisha kitu hata kwa wale watu wanaoishi mkoa mmoja ama mikoa iliyo karibu mfano watu wanaishi Arusha na Mosh kwa pamoja wanaweza anzisha kitu then ikawa ni walikutana kupitia KAPUKU's Forum mpaka wakaweza anzisha ishu inayoonekana....
Yaani wameiba jasho,pesa na mawazo yetu
Lakini naamini MAFANIKIO HAYAPATIKANI KWA DHULUMA...wakikwama watatukumbuka coz Umoja ni nguvu
Lkn tushawapotezea
Usimuamini mtu issue za pesa
....................