Makapuku Forum

Makapuku Forum

bb9ccd1a6f2e2c4d1cb130df00bc8f4b.jpg

Angalieni 44 LIKES
Sisi mwisho 5 LIKES

..................
Sasa kwa nini wanatufanyia hivyo
 
Mimi ni mtu wa kujilipua sana kwa fursa mkuu, najua shida kubwa tz ni uaminifu/kuaminiana lakini najua pamoja na hayo twaweza kufanya kitu ambacho hata hakitazuia chenye faida na hakikuzuii kuendelea na majukumu ya kila siku
Kabisa mkuu namimi pia huwa siogopi kujaribu..Kwa kitu ninacho amin kikienda kama kilivyo napasua huwa naruka nazo...
 
Kwa upande wangu ishu ambayo naiaminia ni kilimo cha KARAFUU.

Mfano mti mmoja wa karafuu unachukua 5yrs then unaanza kuvuna,mti mmoja wa karafuu unaweza kutoa mpaka kilo 200 kutokana na ukubwa wake.

Bei ya kilo moja ya karafuu ni Tsh 15000 hadi 20000 hivyo ukiwa na shamba la miti kama 100 unauhakika wa kupata kama 1500000 au zaidi kwa msimu.
Hii biashara inalipa sana.....
Kilimo
 
Kwa upande wangu ishu ambayo naiaminia ni kilimo cha KARAFUU.

Mfano mti mmoja wa karafuu unachukua 5yrs then unaanza kuvuna,mti mmoja wa karafuu unaweza kutoa mpaka kilo 200 kutokana na ukubwa wake.

Bei ya kilo moja ya karafuu ni Tsh 15000 hadi 20000 hivyo ukiwa na shamba la miti kama 100 unauhakika wa kupata kama 1500000 au zaidi kwa msimu.
Hii biashara inalipa sana.....
Karafuu inakubali kulimwa maeneo gani mkuu??
Cc falcon mombasa
 
Kwa upande wangu ishu ambayo naiaminia ni kilimo cha KARAFUU.

Mfano mti mmoja wa karafuu unachukua 5yrs then unaanza kuvuna,mti mmoja wa karafuu unaweza kutoa mpaka kilo 200 kutokana na ukubwa wake.

Bei ya kilo moja ya karafuu ni Tsh 15000 hadi 20000 hivyo ukiwa na shamba la miti kama 100 unauhakika wa kupata kama 1500000 au zaidi kwa msimu.
Hii biashara inalipa sana.....
Naunga mkono pendekezo hili pia na liweke kwenye list maana wewe ndiyo Katibu kwenye kikao hiki na mwenyekiti ni jambilo .Then utakuja kutuwekea mawazo yote mezan....tuite watu wengi kwa kadiri tuwezavyo waje wachangie tuone nini kitatokea mkuu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom