Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,100
Kwahiyo ulisikia mi nauza majaketi???Bibie baridi
Kwahiyo ulisikia mi nauza majaketi???Bibie baridi
Duh bibie we mkali?Kwahiyo ulisikia mi nauza majaketi???
Ndio hivyo.Duh bibie we mkali?
Umenikata stimu
Nimekupenda SanaNdio hivyo.
HAHAAAAASasa hali ya hewa imefanyaje?? Mbona ipo kawaida tu??
Kweli mama wala si longolongo ni kweli mtupu![]()
![]()
![]()
![]()
Acha longo longo wewe
Hahahahahaha wifi mgeni nae kaja kwa kiasi sanaHAHAAAAA
Wifi umeuaaaa
Andika barua ya maombi na uambatanishe your bank statement kwa miezi 6 iliyopita kisha uilete hapa ili niweze kufikiria ombi lakoKweli mama wala si longolongo ni kweli mtupu
Babu kasoma huu uzi kazila na lunch. Nimemwambia hawa watoto watundu tu halafu hawajui hata mapengo yangu. Nadhani labda atakubali dinner. Msimkasilishe tena. Mwanangu katavi yumo humu anawasoma akiwatumia bomu kwenye barua na hivi wanaanza kuleta nyumba kwa nyumba mtajiju.
Jimena katika ubora wakeKwahiyo ulisikia mi nauza majaketi???
mbona umekuwa mkari sana kwa mgeni.?Hahaha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
masikini mgeni kakimbia(very sad)Andika barua ya maombi na uambatanishe your bank statement kwa miezi 6 iliyopita kisha uilete hapa ili niweze kufikiria ombi lako
Braza hivyo vitu tu ni matata sana aisee.![]()
![]()
Karibu my dear na endelea mi naenda nawa mikono kwanza..
Dada mbona umekuwa mkali hiviKwahiyo ulisikia mi nauza majaketi???
Soma post # 3Duh...inawezekana ht mm ni kapuku lkn sijijui