Makapuku Forum

Makapuku Forum

My My Nakuaminia sana ebu tupia idea yako na wewe unajua tupo wengi sana Mumy kiasi kwamba tukisema hata tucheze kibati yaani kila siku jioni tunamrushia mtu mmoja elfu 1 tu..Na wakipatikana watu waaminifu ni mtaji tosha kabisa wakulima matikiti..
Yah uko right Bby lakin we should look forward without forgetting positive /negative za ideas zetu mwsho wa siku tusijelizana....

Back to your idea serious siwez kumuamin mtu nsiyemfaham kwenye swala LA pesa... Hiyo kwangu ni big NO

Sorry but ndio msimamo wangu...
 
5cc7582e6c3e815efe89694d53a64b23.jpg

Nimetest kwa Ngedere Ungabu LIKE YA 7 imekubali zen nimeifuta zimebaki 6

..............
Not fair
 
Yah uko right Bby lakin we should look forward without forgetting positive /negative za ideas zetu mwsho wa siku tusijelizana....

Back to your idea serious siwez kumuamin mtu nsiyemfaham kwenye swala LA pesa... Hiyo kwangu ni big NO

Sorry but ndio msimamo wangu...
Uko sawa sana Mumy kwani uaminifu siku hizi umekuwa ni changamoto sana japo nadhani kupitia dhana hiyo basi na watu wakipatikana wa kutosha wanaweza anzisha kitu hata kwa wale watu wanaoishi mkoa mmoja ama mikoa iliyo karibu mfano watu wanaishi Arusha na Mosh kwa pamoja wanaweza anzisha kitu then ikawa ni walikutana kupitia KAPUKU's Forum mpaka wakaweza anzisha ishu inayoonekana....
 
Ni wazo zuri sana nadhani kwa wingi na umoja wetu tunaweza tukaanzisha kitu kama SACCOS na ikakuwa kwa kasi sana kama watapatikana watu ambao ni committed na waaminifu...Then kupitia SACCOS hiyo ikatengenezwa katiba maridadi kabisa ambayo itakuwa inatoa muongozo na sheria za uendeshaji pamoja na jinsi gani inaweza kusaidia watu..Hakika umoja huu wa kapuku utakuwa umefanya kitu cha kihistoria kupitia JF...CC jambilo
Hili wazo pia ni zuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom