Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,045
Chama gani tena.Braza youngblood njoo huu uungane na huyu jamaa muunde chama.
Chama gani tena.Braza youngblood njoo huu uungane na huyu jamaa muunde chama.
Mi ndio kiongozi wa masingle boy wote huku ila usijipendekeze wake za watu wajiangalieBraza youngblood njoo huu uungane na huyu jamaa muunde chama.
Bitoz simu yake imekata charge. Unaweza kuniuliza mimi tu akija nitamwambia..Mkuu bitoz naomba nikuulize swali km hutojali???
Karibu mkuu.Na mimi kapuku aisee
Ni wazo zuri sana nadhani kwa wingi na umoja wetu tunaweza tukaanzisha kitu kama SACCOS na ikakuwa kwa kasi sana kama watapatikana watu ambao ni committed na waaminifu...Then kupitia SACCOS hiyo ikatengenezwa katiba maridadi kabisa ambayo itakuwa inatoa muongozo na sheria za uendeshaji pamoja na jinsi gani inaweza kusaidia watu..Hakika umoja huu wa kapuku utakuwa umefanya kitu cha kihistoria kupitia JF...CC jambilomfano tunaweza kufungua kampuni ya nini?
Potezea ht zionekane 345 Likes lkn sisi kwenye profile tunazo nyingi km kontena la Maersk....
Wazo zuri na wengine watiririkeNi wazo zuri sana nadhani kwa wingi na umoja wetu tunaweza tukaanzisha kitu kama SACCOS na ikakuwa kwa kasi sana kama watapatikana watu ambao ni committed na waaminifu...Then kupitia SACCOS hiyo ikatengenezwa katiba maridadi kabisa ambayo itakuwa inatoa muongozo na sheria za uendeshaji pamoja na jinsi gani inaweza kusaidia watu..Hakika umoja huu wa kapuku utakuwa umefanya kitu cha kihistoria kupitia JF...CC jambilo
Hii imekaa poa sana.Ni wazo zuri sana nadhani kwa wingi na umoja wetu tunaweza tukaanzisha kitu kama SACCOS na ikakuwa kwa kasi sana kama watapatikana watu ambao ni committed na waaminifu...Then kupitia SACCOS hiyo ikatengenezwa katiba maridadi kabisa ambayo itakuwa inatoa muongozo na sheria za uendeshaji pamoja na jinsi gani inaweza kusaidia watu..Hakika umoja huu wa kapuku utakuwa umefanya kitu cha kihistoria kupitia JF...CC jambilo
Mkuu sijaelewa hizi screenshot.
Mkuu napima na mawazo ya wengine kwanzaTuambie bro, mimi nakuaminia.
Poa mkuu,ila manuu ametoa wazo lake unalionaje?Mkuu napima na mawazo ya wengine kwanza
Huwa naamini mtaji namba moja huwa ni watu wenye marengo yanayo shabiana then kutoka hapo wanaweza kuja kufanya kitu kikubwa mno...Wazo zuri na wengine watiririke
Huyu Moderator kazi inaelekea kumshinda.![]()
Angalieni 44 LIKES
Sisi mwisho 5 LIKES
![]()
![]()
![]()
![]()
..................
Ni kweli tunahitaji michango ya watu wengi kwa kadri ifaavyo kila mmoja akija na kitu anachowaza then watu wanafanya makubaliano ya ipi ifanyike na kwa njia gani...Ila nasisitiza kwa wingi wetu hapa tunaweza badili sifa ya UKAPUKU kama prezdaa Bitoz na PM Th Name ikawa historia kabisa hapa...Maana naamini wanaojishusha hupandishwa na wanaojikweza hushushwa...Poa mkuu,ila manuu ametoa wazo lake unalionaje?
Kweli mkuu.Ni kweli tunahitaji michango ya watu wengi kwa kadri ifaavyo kila mmoja akija na kitu anachowaza then watu wanafanya makubaliano ya ipi ifanyike na kwa njia gani...Ila nasisitiza kwa wingi wetu hapa tunaweza badili sifa ya UKAPUKU kama prezdaa Bitoz na PM Th Name ikawa historia kabisa hapa...Maana naamini wanaojishusha hupandishwa na wanaojikweza hushushwa...
ndugu wewe ndio umeleta wazo sasa leta na muongozo sie tutauchambuaAcha wadau waanze mimi ntakuwa wa mwisho