Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni wazo zuri sana nadhani kwa wingi na umoja wetu tunaweza tukaanzisha kitu kama SACCOS na ikakuwa kwa kasi sana kama watapatikana watu ambao ni committed na waaminifu...Then kupitia SACCOS hiyo ikatengenezwa katiba maridadi kabisa ambayo itakuwa inatoa muongozo na sheria za uendeshaji pamoja na jinsi gani inaweza kusaidia watu..Hakika umoja huu wa kapuku utakuwa umefanya kitu cha kihistoria kupitia JF...CC jambilo
baby katika ubora wako......gud idea
 
Huyu Moderator kazi inaelekea kumshinda.
Tutajiripua humu ndani kama vipi tufe wote.
Kwanini wanabania likes*?? Nini mantiki yake?
Tumelalamika wakaamua KUDELETE LIKE ZA WAKONGWE zionekane 5 ili kuua ushahidi lkn sehemu zingine wamejisahau
Ushahidi upo wazi ukigonga kuanzia ya 6 zinakubali .....
Kapuku ni kapuku tu hatuthaminiwi
ebe499aa64bc62e3a7f51ba7b87b0ac6.jpg
6efa331280a3e92ac01ac136701c4889.jpg

Cheki evidence hapo juu
...............
 
Kwa upande wangu ishu ambayo naiaminia ni kilimo cha KARAFUU.

Mfano mti mmoja wa karafuu unachukua 5yrs then unaanza kuvuna,mti mmoja wa karafuu unaweza kutoa mpaka kilo 200 kutokana na ukubwa wake.

Bei ya kilo moja ya karafuu ni Tsh 15000 hadi 20000 hivyo ukiwa na shamba la miti kama 100 unauhakika wa kupata kama 1500000 au zaidi kwa msimu.
Hii biashara inalipa sana.....
 
Mkuu na usisahau watu wengi wanao na waliofanikiwa huwa ni wale MA-RISK TAKER..
Mimi ni mtu wa kujilipua sana kwa fursa mkuu, najua shida kubwa tz ni uaminifu/kuaminiana lakini najua pamoja na hayo twaweza kufanya kitu ambacho hata hakitazuia chenye faida na hakikuzuii kuendelea na majukumu ya kila siku
 
Nimekuelewa mkuu,.
manuu hebu njoo hapa utoe ufafanuzi kidogo.
Mkuu naamini cha kwanza ni uthubutu tu unaotakiwa katika jambo lolote na kujaribu na ukakosea si dhambi katika maisha..So kwa hilo la SACCOS naweza sema pakipatikana watu amabo ni waamifu na wenye utayari tu inaweza anzishwa na wale wale wanachama ndiyo wata-raise fund na watakuwa wanajikopesha kwa Riba ambayo itakuwa imeamuliwa...Ni kweli kuna changamoto mingi sana za watu kuwa maeneo mbalimbali ila kupitia M-PESA, MITANDAO kama hivi tunakuwa kama tupo pamoja tu...
 
My My Nakuaminia sana ebu tupia idea yako na wewe unajua tupo wengi sana Mumy kiasi kwamba tukisema hata tucheze kibati yaani kila siku jioni tunamrushia mtu mmoja elfu 1 tu..Na wakipatikana watu waaminifu ni mtaji tosha kabisa wakulima matikiti..
Hii imekaa poa kama ukipata watu waaminifu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom