baby katika ubora wako......gud ideaNi wazo zuri sana nadhani kwa wingi na umoja wetu tunaweza tukaanzisha kitu kama SACCOS na ikakuwa kwa kasi sana kama watapatikana watu ambao ni committed na waaminifu...Then kupitia SACCOS hiyo ikatengenezwa katiba maridadi kabisa ambayo itakuwa inatoa muongozo na sheria za uendeshaji pamoja na jinsi gani inaweza kusaidia watu..Hakika umoja huu wa kapuku utakuwa umefanya kitu cha kihistoria kupitia JF...CC jambilo
Tumelalamika wakaamua KUDELETE LIKE ZA WAKONGWE zionekane 5 ili kuua ushahidi lkn sehemu zingine wamejisahauHuyu Moderator kazi inaelekea kumshinda.
Tutajiripua humu ndani kama vipi tufe wote.
Kwanini wanabania likes*?? Nini mantiki yake?
Tunaomba basi na wewe mama utupe mawazo yako.baby katika ubora wako......gud idea
Mkuu ni sawa lakini pia mtu huwekeza mahali ambapo kampuni inatengeneza faida ya uhakikaHuwa naamini mtaji namba moja huwa ni watu wenye marengo yanayo shabiana then kutoka hapo wanaweza kuja kufanya kitu kikubwa mno...
My My Nakuaminia sana ebu tupia idea yako na wewe unajua tupo wengi sana Mumy kiasi kwamba tukisema hata tucheze kibati yaani kila siku jioni tunamrushia mtu mmoja elfu 1 tu..Na wakipatikana watu waaminifu ni mtaji tosha kabisa wakulima matikiti..baby katika ubora wako......gud idea
Nimekuelewa mkuu,.Ni zuri but saccos inafaa kwa watu wa eneo moja, ni ngumu kukoposha raia wa kigoma au mtwara na mambo ya saccos unajua hukuza mtaji wake kwa kutegemea wakopaji
Mkuu na usisahau watu wengi wanao na waliofanikiwa huwa ni wale MA-RISK TAKER..Mkuu ni sawa lakini pia mtu huwekeza mahali ambapo kampuni inatengeneza faida ya uhakika
Huyu analo tayari wazo jema tuMy My Nakuaminia sana ebu tupia idea yako na wewe unajua tupo wengi sana Mumy kiasi kwamba tukisema hata tucheze kibati yaani kila siku jioni tunamrushia mtu mmoja elfu 1 tu..Na wakipatikana watu waaminifu ni mtaji tosha kabisa wakulima matikiti..
Basi alikuwa mchungulia bahari tu sio msafiriJimena umefukuza mgeni..nellwan
Hi baby its cold, cam this way --->Basi alikuwa mchungulia bahari tu sio msafiri
Mimi ni mtu wa kujilipua sana kwa fursa mkuu, najua shida kubwa tz ni uaminifu/kuaminiana lakini najua pamoja na hayo twaweza kufanya kitu ambacho hata hakitazuia chenye faida na hakikuzuii kuendelea na majukumu ya kila sikuMkuu na usisahau watu wengi wanao na waliofanikiwa huwa ni wale MA-RISK TAKER..
Mkuu naamini cha kwanza ni uthubutu tu unaotakiwa katika jambo lolote na kujaribu na ukakosea si dhambi katika maisha..So kwa hilo la SACCOS naweza sema pakipatikana watu amabo ni waamifu na wenye utayari tu inaweza anzishwa na wale wale wanachama ndiyo wata-raise fund na watakuwa wanajikopesha kwa Riba ambayo itakuwa imeamuliwa...Ni kweli kuna changamoto mingi sana za watu kuwa maeneo mbalimbali ila kupitia M-PESA, MITANDAO kama hivi tunakuwa kama tupo pamoja tu...Nimekuelewa mkuu,.
manuu hebu njoo hapa utoe ufafanuzi kidogo.
Hii imekaa poa kama ukipata watu waaminifu.My My Nakuaminia sana ebu tupia idea yako na wewe unajua tupo wengi sana Mumy kiasi kwamba tukisema hata tucheze kibati yaani kila siku jioni tunamrushia mtu mmoja elfu 1 tu..Na wakipatikana watu waaminifu ni mtaji tosha kabisa wakulima matikiti..
Labda zimesombwa na haya mafuriko.Wadau mbona like zimeanza kupungua?