Makapuku Forum

Makapuku Forum

ZABURI 37

5.Mkabidhi Mwenyezi -Mungu maisha yako;mtumainie yeye naye atafanya kitu.

BABA Mwema tunakuja mbele yako mchana huu tukikushukuru kwa yote unayotenda,asante kwasababu unatupenda tunaomba endelea kutuimarisha tuendelee kukutumainia wewe tu maana utafanya kitu,utatuponya,utatupa riziki,utatupa upendo,utatupa ajira na mahitaji yetu sawa na mapenzi yako.asante kwa sababu ya mahali hapa MAKAPUKU pamekua sehemu yetu njema na tunajifunza na kushirikiana kwa upendo endelea kutusimamia mfalme wa amani maana utatupa kushinda.
Waangalie kwa wema wanaopitia changamoto mbalimbali wape matumaini na ufumbuzi wa kila jambo.
Tunomba yote katika jina la Yesu Amen

MCHANA MWEMA MBARIKIWE SANA
Amen
 
Yaani inaumiza ,hayo tunaambiwa walala hoi watoto wao yakiwakuta wanawapeleka ulaya,india,malasia,kenya,uganda ...nk wanasoma vizuri....wengine mimba wanapewa na haohao wakubwa na hata hawashitakiwi...nikisema hv nimeona na kusikia mengi..Mungu atusaidie tu kuwasimamia watoto na vizazi vyetu ndio zawadi pekee Mungu aliyotupa hatuna utajiri mngine,tuwaleee katika maadili ikitokea tuwasaidie tu wasonge mbele
Ni kweli, mimi nina ushahidi wa wahanga, baada ya kurudi shule walifanya vizuri zaidi, kuna mmoja sasa anachukua PhD Australia, lakini asingeendelea na shule ndio ingekuwa mwisho wa maisha yake
 
DID YOU KNOW ?
b7e34147f0036235712fda2f86327cf4.jpg
Nungwi zanzibar
 
Sasa inatuhusu nini?
Au u nafikiri tupo hapa Jf kushindana kufanya/kupost ujinga ?
Fikisheni hata reply bilioni 1 na kila mtu apewe like 100000000000000000 ni juu yenu maana hakuna anayewawekea bando

Nashangaa mnahangaika na sisi wakati sisi hatujishughulishi wala kushindana na mtu bali tunajishughulisha na shughuli zetu
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom