Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
Ooooooh Apoo sawaaaHata hiyo inatosha mkuu, uchumi mgumu sana kipindi hiki! Si unajua hatutakiwi kufanya mambo yalotuzidi uwezo!!
Aiseeee hii kali![]()
![]()
![]()
atakuwa mama wawilii
Na kukomazwaaa![]()
![]()
![]()
watu bado wanakomaa
Utaonaaa mama
Daa......usiseme hivo mkuu maana sijamaliza chuo bado unanitishaLimenikumbusha mshikaji wangu nimesoma nae!
Alifariki tukiwa chuo! Alikuwa anajiita mkushi..

Nendaaa tuuMh basi siendi
r.I.p wajinaLimenikumbusha mshikaji wangu nimesoma nae!
Alifariki tukiwa chuo! Alikuwa anajiita mkushi..
Hah ha ha ha ha ha ha ha ha ha umeniwezaaaHahahaha nakutegemea wewe ujue
Yaan kama nakuona halaf ujue dec bday yangu woiiiii kibibi gagula mieUtaonaaa mama
Hapana siendiNendaaa tuu
Make simu kashanyanganywaaaAiseeee hii kali
Kwa upande wangu nitasherekea nikiwa Mwanza, baada ya swala ya Eid nitatembelea wagonjwa hospitalini kuwapa moyo pale Bugando na Seketoure.....Toa taarifa kamili mkuu ...mambo ya msingi hayo usilete utaniii ...
Mpango mzima mwanza kivip
Daa......usiseme hivo mkuu maana sijamaliza chuo bado unanitisha![]()
![]()
![]()
![]()
![]()

Madame S bora umekuja eid ni lini kwaniEid mubaraq
AiseeMake simu kashanyanganywaaa