nellwan
JF-Expert Member
- Mar 17, 2016
- 378
- 682
Asante mrembo. Mimi shida yangu hifadhi tu mengine tutazungumza baadae.Karibu
Asante mrembo. Mimi shida yangu hifadhi tu mengine tutazungumza baadae.Karibu
Ufuguji wa mende wa maziwa.Kwenye hii thread huwa mnajadili nini
Mkuu kwani wewe umeona nini?Kwenye hii thread huwa mnajadili nini
Sawa.Ingia ndani nkupe chaiAsante mrembo. Mimi shida yangu hifadhi tu mengine tutazungumza baadae.
Shemeji sijakuelewa.Karibu
Mkuu umenichekesha Sana. Na ufugaji wa mbu wa maziwa piaUfuguji wa mende wa maziwa.
Ufuguji wa mende wa maziwa.
Sijui makapuku, malofa, maskini, hohehahe, vizibo, mbele kama nyuma n.k mkusanyiko wa watu Aina hii eee Mungu niepushie mbaliMkuu kwani wewe umeona nini?
Maswali mengine yanataka majibu kama haya.Mkuu umenichekesha Sana. Na ufugaji wa mbu wa maziwa pia
Na baridi hii itakuwa vema Sana.Sawa.Ingia ndani nkupe chai
Amen.Sijui makapuku, malofa, maskini, hohehahe, vizibo, mbele kama nyuma n.k mkusanyiko wa watu Aina hii eee Mungu niepushie mbali
Sasa uliyajua yote hayo ulifata nini?Sijui makapuku, malofa, maskini, hohehahe, vizibo, mbele kama nyuma n.k mkusanyiko wa watu Aina hii eee Mungu niepushie mbali
kitabu usichokielewa ujue hujaandikiwa wewe.Maana anajitoa ufahamu.Maswali mengine yanataka majibu kama haya.
Kijana anajipa moyo.Nawewe umempindua youngblood??????
Ha Haaaa Haaaa..... Kijana wangu youngblood nakuamini ila unanitia mashaka
Nimeandika kichina au? hujaelewa nn sasaShemeji sijakuelewa.
Ximena upo??
Naona dalili mbaya.Nimeandika kichina au? hujaelewa nn sasa
Bibie mbona hujanijibu
Wala hamna hiyoNaona dalili mbaya.