Husna Muba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 14,524
- 44,585
Mambo yako poaa

Mambo yako poaa

Afu wewe.....Kwani kakoseaa wapiii
Ngoja nimuitee aone ulivyosemaaa
Limb at.
Me nitakupa Baba D sema kingine Je na mimi nikikufunga itakuaje hapo nitapewa haki yangu?Jamaniiii kuwa na amaniiii muhimu ukifungwa nkakufunga usininunieee mpenziii ...aki yangu nipateee kama kawaida
SijakuelewaLimb at.
Unapewaaaa shaka ondoaaaMe nitakupa Baba D sema kingine Je na mimi nikikufunga itakuaje hapo nitapewa haki yangu?
Bhasii sawaaaAfu wewe.....
2012 - Rais wa Paraguay, Fernando Lugo anaondolewa madarakani na Bunge la Nchi hiyo .
Federico Franco anachukua wadhifa huo punde tu.
1903 - John Dillinger anazaliwa.
Alikuwa ni Jambazi sugu aliyesumbua nchini Marekani katika miaka ya 1930's kipindi cha Mdororo wa Uchumi.
Alikuwa na genge lake kubwa la kihalifu lililokuwa linavunja benki na kuiba.
Alikuja kuuliwa na FBI mara baada ya kutafutwa sana.
Yaaaap sijambo kabisaaaUko poaa ??
SwadaktaYaaaap sijambo kabisaaa
Sawa Baba D wangu nimekuelewaUnapewaaaa shaka ondoaaa
hahahah! umeniacha hoi hapo kwa ndugu yetu Kenyatta.. Al shaabab wanavuruga afu ujiite Field Marshall![]()
![]()
![]()
Wenyewe walimpachika jina la Desert Fox
Alifariki mwaka 1944 wakati wa WW2(nafikiri alijiua pamoja na Hitler baada ya kuzidiwa na kuzingirwa)
Hapo kwa majirani zetu Uhuru Kenyatta anajiitaField Marshall wakati hajapigana hata kavita kamoja .....Al Shaabab tu wanamchezea sharubu
.......
1947 - Jerry Rawlings anazaliwa.
Alipata kuwa Luteni na Rais wa Ghana.
Bhasii sawaaa

Nimefurahi kuita hivyo kwa mara ya kwanzaMbona unachekaa sasa
Umesikia shemelaJamaniiii kiroho safiiii ....wewe ni Man u
Mashahidi tupo aiseeSawa Baba D ninachoogopa ligi kuanza tu usije nibadilikia
Shemela usihofu kabisa kwa ushahidi tu nitautoaShemela Shululu naomba usome we ni shahidi yangu mkuu
Wala, nimefurahi tu kukuita hivyoAnajistukia huyoo