Makapuku Forum

Makapuku Forum

1942 - Jenerali Erwin Rommel wa Jeshi la Nazi anapandishwa cheo na kuwa Field Marshall mara baada ya kuuteka mji wa Tobruk huko Libya.
30e28a4c0d287ac266d825cf6bb7f3f2.jpg
f48c06f5a857bdf7d2c06affd7a3bee3.jpg
98e54299ff40b0689e8415d25dbafd6a.jpg

Wenyewe walimpachika jina la Desert Fox
Alifariki mwaka 1944 wakati wa WW2(nafikiri alijiua pamoja na Hitler baada ya kuzidiwa na kuzingirwa)

Hapo kwa majirani zetu Uhuru Kenyatta anajiitaField Marshall wakati hajapigana hata kavita kamoja .....Al Shaabab tu wanamchezea sharubu
.......
 
1986 - Kombe la Dunia mwaka 1986 nchini Mexico: Mechi ya robo fainali baina ya Uingereza dhidi ya Argentina inafanyika.

Diego Maradona, nahodha wa Argentina anafunga magoli mawili murua na kuitoa England kwa jumla ya magoli 2-1.

Goli la kwanza, Maradona alilifinga kwa mkono na goli hilo linajulikana kama Goli la Mkono wa Mungu.

Goli la pili, Maradona alipiga chenga wachezaji watano wa England kabla ya kufunga. Goli hili linajulikana kama Goli la Karne.

Hiyo ni moja kati ya mechi za kukumbukwa za wakati wote katika historia ya mchezo wa soka.
642e0a9f04bca35db0c1590680a1bfd7.jpg
511fabf064addf0ff18d3ccd24dffdce.jpg
ae6c57c9232d5f488fd2789006e7edba.jpg
1a059e46007758cc126cadcb0bd73a8f.jpg
837fd0408e433108aa89d47cd5217278.jpg
Siku hizi kuna Video Assistant Refaree hakuna magoli ya ujaujanja
Ila binadamu hatuna jema tunalalamika pia ila timu zetu zikionewa km bao la Amissi Tambwe dhidi ya Simba tunatokwa mapovu
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom