BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Wababe watupu1941 - Jeshi la Nazi la Ujerumani laivamia Urusi katika kile kilichojulikana kama Operesheni Barbarossa.
Wababe watupu1941 - Jeshi la Nazi la Ujerumani laivamia Urusi katika kile kilichojulikana kama Operesheni Barbarossa.
Kwakweli Kibiti si salama,lakini wanaohusika Mungu atawafichua tuWAtu washaanza kukimbia makazi yao tuko nao mbagala hapa
Acha ubishi banaa![]()
![]()
![]()
napenda kukuita hivyo
Na Bongo tunaye Sizonje mikwara mingi lakini Kibiti hapawezihahahah! umeniacha hoi hapo kwa ndugu yetu Kenyatta.. Al shaabab wanavuruga afu ujiite Field Marshall
Kwa kweli sijui wapi team zitachomokea labda wakabe mwanzo mwisho kutafuta suluhuNyumaaa ntintiiii katiii ntitiiii mbeleeeh ntiintiiiiiiii
Bunju bado kutandika nyasi tu n'a tunategemea mazoezi tutafanyia hapoHivi nyasi zenu bandia bado zipo stoo Msimbazi au mshapeleka Bunju?Nataka niwalete mbuzi wangu hapo Msimbazi maana huku Mabibo malisho yamepungua![]()
........
Na Bongo tunaye Sizonje mikwara mingi lakini Kibiti hapawezi
....
unaitwa central harakaaAisée kumbe tupo wengi tunafanana kupenda vitumnyamaaaa kama chelsea![]()
Thimba mungine Niko apaAisée kumbe tupo wengi tunafanana kupenda vitu
Chelsea
Simba
Ndio Mpango mzima

tena kupenda vitu vizuri mkuu hakuna anaependa kibayaAisée kumbe tupo wengi tunafanana kupenda vitu
Chelsea
Simba
Ndio Mpango mzima
furahi mama yangu maisha yenyewe mafupi haya
MITHALI 3
BABA MUNGU ANASEMA NASI MCHANA WA LEO TUMSIKILIZE TUMTII NA TUCHUKUE HATUA ,TUMTUMAINI YEYE KWA MOYO WOTE TUSITEGEMEE AKILI ZETU ,TUMKIRI ILI ANYOOSHE MAPITO YETU,ATUONGEZEE UMRI WA KUISHI,ATUPE AFYA YA MWILI NA ROHO KAMWE HATATUACHA.

AmenMITHALI 3
1.Mwanangu,usiisahau sheria yangu ,Bali moyo wako uzishike amri zangu.
2.Maana zitakuongezea wingi wa siku,Na miaka ya uzima.
3.Rehema na kweli zisifarakane nawe,Zifunge shingoni mwako;Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
4.Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri ,Mbele za MUNGU na mbele za mwanadamu.
5.Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,Wala usizitegemee akili zako mwenyewe .
6.Katika njia zako zote mkiri yeye ,Naye atanyoosha mapito yako.
7.Usiwe mwenye hekima machoni pako;Mche BWANA ,ukajiepushe na uovu.
8.Itakuwa afya mwilini pako Na mafuta mifupani mwako.
BABA MUNGU ANASEMA NASI MCHANA WA LEO TUMSIKILIZE TUMTII NA TUCHUKUE HATUA ,TUMTUMAINI YEYE KWA MOYO WOTE TUSITEGEMEE AKILI ZETU ,TUMKIRI ILI ANYOOSHE MAPITO YETU,ATUONGEZEE UMRI WA KUISHI,ATUPE AFYA YA MWILI NA ROHO KAMWE HATATUACHA.
MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
MITHALI 3
1.Mwanangu,usiisahau sheria yangu ,Bali moyo wako uzishike amri zangu.
2.Maana zitakuongezea wingi wa siku,Na miaka ya uzima.
3.Rehema na kweli zisifarakane nawe,Zifunge shingoni mwako;Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
4.Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri ,Mbele za MUNGU na mbele za mwanadamu.
5.Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,Wala usizitegemee akili zako mwenyewe .
6.Katika njia zako zote mkiri yeye ,Naye atanyoosha mapito yako.
7.Usiwe mwenye hekima machoni pako;Mche BWANA ,ukajiepushe na uovu.
8.Itakuwa afya mwilini pako Na mafuta mifupani mwako.
BABA MUNGU ANASEMA NASI MCHANA WA LEO TUMSIKILIZE TUMTII NA TUCHUKUE HATUA ,TUMTUMAINI YEYE KWA MOYO WOTE TUSITEGEMEE AKILI ZETU ,TUMKIRI ILI ANYOOSHE MAPITO YETU,ATUONGEZEE UMRI WA KUISHI,ATUPE AFYA YA MWILI NA ROHO KAMWE HATATUACHA.
MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
Ameen MamaUbarikiwe mummyAmeen Mama
Mchana mwema na kwako pia
Ubarikiwe mummyAmen
Ubarikiwe nawe
AminaaaaaMITHALI 3
1.Mwanangu,usiisahau sheria yangu ,Bali moyo wako uzishike amri zangu.
2.Maana zitakuongezea wingi wa siku,Na miaka ya uzima.
3.Rehema na kweli zisifarakane nawe,Zifunge shingoni mwako;Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.
4.Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri ,Mbele za MUNGU na mbele za mwanadamu.
5.Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,Wala usizitegemee akili zako mwenyewe .
6.Katika njia zako zote mkiri yeye ,Naye atanyoosha mapito yako.
7.Usiwe mwenye hekima machoni pako;Mche BWANA ,ukajiepushe na uovu.
8.Itakuwa afya mwilini pako Na mafuta mifupani mwako.
BABA MUNGU ANASEMA NASI MCHANA WA LEO TUMSIKILIZE TUMTII NA TUCHUKUE HATUA ,TUMTUMAINI YEYE KWA MOYO WOTE TUSITEGEMEE AKILI ZETU ,TUMKIRI ILI ANYOOSHE MAPITO YETU,ATUONGEZEE UMRI WA KUISHI,ATUPE AFYA YA MWILI NA ROHO KAMWE HATATUACHA.
MCHANA MWEMA MBARIKIWE![]()
![]()
Tutawapigaaa tuuKwa kweli sijui wapi team zitachomokea labda wakabe mwanzo mwisho kutafuta suluhu