Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hivi nyasi zenu bandia bado zipo stoo Msimbazi au mshapeleka Bunju?
bfc0181ab8e3ea2f084e6dc0e0ce266b.jpg
Nataka niwalete mbuzi wangu hapo Msimbazi maana huku Mabibo malisho yamepungua
........
Bunju bado kutandika nyasi tu n'a tunategemea mazoezi tutafanyia hapo
 
MITHALI 3

1.Mwanangu,usiisahau sheria yangu ,Bali moyo wako uzishike amri zangu.

2.Maana zitakuongezea wingi wa siku,Na miaka ya uzima.

3.Rehema na kweli zisifarakane nawe,Zifunge shingoni mwako;Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.

4.Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri ,Mbele za MUNGU na mbele za mwanadamu.

5.Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,Wala usizitegemee akili zako mwenyewe .

6.Katika njia zako zote mkiri yeye ,Naye atanyoosha mapito yako.

7.Usiwe mwenye hekima machoni pako;Mche BWANA ,ukajiepushe na uovu.

8.Itakuwa afya mwilini pako Na mafuta mifupani mwako.


BABA MUNGU ANASEMA NASI MCHANA WA LEO TUMSIKILIZE TUMTII NA TUCHUKUE HATUA ,TUMTUMAINI YEYE KWA MOYO WOTE TUSITEGEMEE AKILI ZETU ,TUMKIRI ILI ANYOOSHE MAPITO YETU,ATUONGEZEE UMRI WA KUISHI,ATUPE AFYA YA MWILI NA ROHO KAMWE HATATUACHA.

MCHANA MWEMA MBARIKIWE
 
MITHALI 3

1.Mwanangu,usiisahau sheria yangu ,Bali moyo wako uzishike amri zangu.

2.Maana zitakuongezea wingi wa siku,Na miaka ya uzima.

3.Rehema na kweli zisifarakane nawe,Zifunge shingoni mwako;Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.

4.Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri ,Mbele za MUNGU na mbele za mwanadamu.

5.Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,Wala usizitegemee akili zako mwenyewe .

6.Katika njia zako zote mkiri yeye ,Naye atanyoosha mapito yako.

7.Usiwe mwenye hekima machoni pako;Mche BWANA ,ukajiepushe na uovu.

8.Itakuwa afya mwilini pako Na mafuta mifupani mwako.


BABA MUNGU ANASEMA NASI MCHANA WA LEO TUMSIKILIZE TUMTII NA TUCHUKUE HATUA ,TUMTUMAINI YEYE KWA MOYO WOTE TUSITEGEMEE AKILI ZETU ,TUMKIRI ILI ANYOOSHE MAPITO YETU,ATUONGEZEE UMRI WA KUISHI,ATUPE AFYA YA MWILI NA ROHO KAMWE HATATUACHA.

MCHANA MWEMA MBARIKIWE
Amen

Ubarikiwe nawe
 
MITHALI 3

1.Mwanangu,usiisahau sheria yangu ,Bali moyo wako uzishike amri zangu.

2.Maana zitakuongezea wingi wa siku,Na miaka ya uzima.

3.Rehema na kweli zisifarakane nawe,Zifunge shingoni mwako;Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.

4.Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri ,Mbele za MUNGU na mbele za mwanadamu.

5.Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,Wala usizitegemee akili zako mwenyewe .

6.Katika njia zako zote mkiri yeye ,Naye atanyoosha mapito yako.

7.Usiwe mwenye hekima machoni pako;Mche BWANA ,ukajiepushe na uovu.

8.Itakuwa afya mwilini pako Na mafuta mifupani mwako.


BABA MUNGU ANASEMA NASI MCHANA WA LEO TUMSIKILIZE TUMTII NA TUCHUKUE HATUA ,TUMTUMAINI YEYE KWA MOYO WOTE TUSITEGEMEE AKILI ZETU ,TUMKIRI ILI ANYOOSHE MAPITO YETU,ATUONGEZEE UMRI WA KUISHI,ATUPE AFYA YA MWILI NA ROHO KAMWE HATATUACHA.

MCHANA MWEMA MBARIKIWE
Ameen Mama
Mchana mwema na kwako pia
 
MITHALI 3

1.Mwanangu,usiisahau sheria yangu ,Bali moyo wako uzishike amri zangu.

2.Maana zitakuongezea wingi wa siku,Na miaka ya uzima.

3.Rehema na kweli zisifarakane nawe,Zifunge shingoni mwako;Ziandike juu ya kibao cha moyo wako.

4.Ndivyo utakavyopata kibali na akili nzuri ,Mbele za MUNGU na mbele za mwanadamu.

5.Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote,Wala usizitegemee akili zako mwenyewe .

6.Katika njia zako zote mkiri yeye ,Naye atanyoosha mapito yako.

7.Usiwe mwenye hekima machoni pako;Mche BWANA ,ukajiepushe na uovu.

8.Itakuwa afya mwilini pako Na mafuta mifupani mwako.


BABA MUNGU ANASEMA NASI MCHANA WA LEO TUMSIKILIZE TUMTII NA TUCHUKUE HATUA ,TUMTUMAINI YEYE KWA MOYO WOTE TUSITEGEMEE AKILI ZETU ,TUMKIRI ILI ANYOOSHE MAPITO YETU,ATUONGEZEE UMRI WA KUISHI,ATUPE AFYA YA MWILI NA ROHO KAMWE HATATUACHA.

MCHANA MWEMA MBARIKIWE
Aminaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom