Makapuku Forum

Makapuku Forum

1983 - Edward Snowden anazaliwa.

Kachero wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani, CIA ambapo pia ni mtaalamu wa masuala ya Teknolojia, habari na mawasiliano.

Aliacha kazi ghafla na kuanza kutoa siri nyeti ( Classified Documents ) za Marekani hasa za utawala wa Rais wa 44 wa Marekani, Barack Obama.
6997a2f56d1b1faf9e50da826a56cfbd.jpg
ddd03c9c4cb58877bc00eded15d2c042.jpg
06adea0de5459cd3cec2714e08e3b2c9.jpg
 
Daaaaah Udongo unameza ....R.I.P Ally wa Yanga ...

............Huyu mwanadamu alikuwa ni star katika mastar wanaoishi jukwaani katika kila mchezo wa Yanga na wa Taifa stars, huyu mwanadamu kila wakati alivutia kwa ubunifu wake jukwaani...... Nani alikuwa hamfahamu mwana Sanaa huyu, Nani alikuwa hamfurahii mwanadamu huyu...... Sio Mimi tu, sio wewe tu, hata camera za runinga zilimfurahia kila timu yake ilipokuwa inashangilia goli..... Alivutia wakati wa kushangilia goli kwa staili ya kuchinja lakini pia alivutia zaidi wakati ana kuhuzunika baada ya kufungwa.

Nenda sasa ukapumzike Ally Yanga, picha zako ni ushahidi tosha wa ufalme wako jukwaani kwa jezi za Yanga na taifa stars katika Sanaa yako. Mwenyezi Mungu aipe faraja familia yako katika kipindi hichi kigumu, lakini pia Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi AMEN.

Tangulia hiyo ndio njia yetu sote. Inalilah waina ilaih rajiun
Apumzike kwa Amani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom