BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
HBD Benazir Bhutto -1953-20071953 - Benazir Bhutto anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 11 wa Pakistan.
Aliuwawa mwaka 2007.
RIP Benazir Bhutto-2007
HBD Benazir Bhutto -1953-20071953 - Benazir Bhutto anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 11 wa Pakistan.
Aliuwawa mwaka 2007.
Nawe piaNingekuwa mimi nawagomea![]()
Huu ni ubaguzi na unyanyasaji
.
.
.
.
Asubuhi njema
......
HB ila inauma kuuwawa1953 - Benazir Bhutto anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 11 wa Pakistan.
Aliuwawa mwaka 2007.
Happy birthday na ongera kwake kwa mafanikio katka sokaa1955 - Michel Platini anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa.
Mmoja kati ya wachezaji bora wa wakati wote kutokea Ufaransa.
Alishinda Ballon D'or mara tatu mfululizo kuanzia mwaka 1982-1985.
Alitwaa Euro mwaka 1984 katika ardhi ya nyumbani.
Amewahi kuwa Rais wa Uefa kabla ya kuondolewa kwa kashfa za rushwa.
Umechapia

Happy birthday Bhutto and RIP1953 - Benazir Bhutto anazaliwa.
Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 11 wa Pakistan.
Aliuwawa mwaka 2007.
Huyu ndio namsikia leo kwakweli1962 - Joko Wododo anazaliwa.
Ni Rais wa 7 wa Indonesia.
Asante nimekaribiaMorn
Karibu mkuu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Picha zinasisimua
RIP mwanajangwani mwenzetu
.
.
.
Juzijuzi tu Simba wamempoteza shabiki wao wa kike kwenye ajali ya Jonas Mkude
So sad
.......
Hawa ndio wale ambao wamezaliwa kwenye chain za kueleweka1982 - Prince William anazaliwa.
Ni mtoto mkubwa wa Marehemu Princess Diana na Prince Charles, mtoto wa Malkia wa Uingereza.
KumekuchaFine Madame