Makapuku Forum

Makapuku Forum

17b05f15ff8c92946fac245ed6f20db0.jpg
Ningekuwa mimi nawagomea
Huu ni ubaguzi na unyanyasaji
.
.
.
.
Asubuhi njema
......
Nawe pia
 
1955 - Michel Platini anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa.

Mmoja kati ya wachezaji bora wa wakati wote kutokea Ufaransa.

Alishinda Ballon D'or mara tatu mfululizo kuanzia mwaka 1982-1985.

Alitwaa Euro mwaka 1984 katika ardhi ya nyumbani.

Amewahi kuwa Rais wa Uefa kabla ya kuondolewa kwa kashfa za rushwa.
 
1955 - Michel Platini anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa.

Mmoja kati ya wachezaji bora wa wakati wote kutokea Ufaransa.

Alishinda Ballon D'or mara tatu mfululizo kuanzia mwaka 1982-1985.

Alitwaa Euro mwaka 1984 katika ardhi ya nyumbani.

Amewahi kuwa Rais wa Uefa kabla ya kuondolewa kwa kashfa za rushwa.
Happy birthday na ongera kwake kwa mafanikio katka sokaa
 
1983 - Edward Snowden anazaliwa.

Kachero wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani, CIA ambapo pia ni mtaalamu wa masuala ya Teknolojia, habari na mawasiliano.

Aliacha kazi ghafla na kuanza kutoa siri nyeti ( Classified Documents ) za Marekani hasa za utawala wa Rais wa 44 wa Marekani, Barack Obama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom