Makapuku Forum

Makapuku Forum

1982 - John Hinckley hakutwi na kosa lolote kutokana na sababu ya kuwa na matatizo ya akili baada ya Jaribio lake la kujaribu Kumuua Rais wa Marekani, Ronald Reagan.
ce4ea59348bef394b02fe0ea6c67414f.jpg
e730a522eceb4bedaac4d8640ec10e93.jpg
Chizi John
88cdf0635f25da7e6bedfe958a5b04d5.jpg
7504102f62aac979b9f1918a44c5ff20.jpg
914c67ff8502c5174ae423763b8bdd7f.jpg
Jaribio la kumuua Ronald Reagan....ila Wamarekani wana kawaida ya kudai Mauaji ni wagonjwa wa akili , wengine ni kweli ila wengine ni funika kombe

Cristiano Ronaldo alipewa jina la Ronaldo(kireno ndo huwa hivyo wakati kiingereza ni Ronald) kwa heshima ya Rais Ronald Reagan maana alikuwa akimpenda sana kiongozi huyo
.....
 
1953 - Benazir Bhutto anazaliwa.

Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 11 wa Pakistan.

Aliuwawa mwaka 2007.
6fae0dd74078355512dbcac10c6d3a7e.jpg
b1e2a5808c7ca96b9e6afdf557fe975a.jpg
Kutokea familia ya wana siasa
Baba yake alikuwa kiongozi mkubwa nchini humo na akauawa kama mwanawe ....huu ukoo ni kama akina Kennedy curse tu
03407f040fa753b0a138e8a8d9dd25b3.jpg
5a79f28a960d5ab51cc57d9cb02f6732.jpg
3e1b4c3e119193dcfb2e50180f243f58.jpg
Nukuu # 3 hajawahi kufutika kichwani kwangu
Aliye karibu na Sizonje amwambie hayo maneno
.......
 
1955 - Michel Platini anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Juventus na timu ya taifa ya Ufaransa.

Mmoja kati ya wachezaji bora wa wakati wote kutokea Ufaransa.

Alishinda Ballon D'or mara tatu mfululizo kuanzia mwaka 1982-1985.

Alitwaa Euro mwaka 1984 katika ardhi ya nyumbani.

Amewahi kuwa Rais wa Uefa kabla ya kuondolewa kwa kashfa za rushwa.
1b912ec077db650cdb8ff9e49cce46a0.jpg
afdbfffbb0eeb9a3c1245f69ad9574d7.jpg
eab34989047dbae587783da94360afd6.jpg
Nasikia skendo ya rushwa ina mkono wa wakubwa kama ilivyokuwa kwa babu wa FIFA Sepp Blatter
......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom