Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Natakiwa nikupee nikuache roho inapendaanitaipenda lini nini tena
Natakiwa nikupee nikuache roho inapendaanitaipenda lini nini tena
mwaaah mwaaah mwaaahUuuuwaaaaaaaooooooh
mmh baba d mbona unaongea kwa codeNatakiwa nikupee nikuache roho inapendaa
Salama mama yangu ubarikiwe na wewe apo nakupenda

Hatuna mpango kushindana na mtu yaani hata uzi huu uwe na kapage kamoja kwa siku ni sawa tu hatupost makorokoro eti ili sijui ujaekuna uzi huko ati unataka kuupiku huu
makapuku hebu rudini ili heshima irudi. au mmesha tibuana huko PM nini mbona kimya sana?
Mkuu lakini sisi hatushindani na kundi/uzi lolote/ wowotekuna uzi huko ati unataka kuupiku huu
makapuku hebu rudini ili heshima irudi. au mmesha tibuana huko PM nini mbona kimya sana?
Ni nini hiyo utanipa uniache roho inapenda![]()
![]()
![]()
zipiiii
Hatuna mpango kushindana na mtu yaani hata uzi huu uwe na kapage kamoja kwa siku ni sawa tu hatupost makorokoro eti ili sijui ujae
Lengo letu kuu ni
1/kudumisha urafiki yaani kupiga stori n.k
2/Kujazana maarifa siyo maLIKE
Hivyo kama kuna wstu wanashindana na huu uzi ni juu yao sisi hatujishughulishi nao bali tuna shughuli zetu(kazi,biashara kuchunga mbuzi,kilimo n.k)
Know this
...........
Mkuu lakini sisi hatushindani na kundi/uzi lolote/ wowote
Kapuku tupo tumejaa teleeeeee...
Umenena vyema ....alafu nilichokugundua muanzisha uzi hakuwa na lengo kama hawa waliodandia uzi wake wanavosema ......Hatuna mpango kushindana na mtu yaani hata uzi huu uwe na kapage kamoja kwa siku ni sawa tu hatupost makorokoro eti ili sijui ujae
Lengo letu kuu ni
1/kudumisha urafiki yaani kupiga stori n.k
2/Kujazana maarifa siyo maLIKE
Hivyo kama kuna wstu wanashindana na huu uzi ni juu yao sisi hatujishughulishi nao bali tuna shughuli zetu(kazi,biashara kuchunga mbuzi,kilimo n.k)
Know this
...........
Yereeeewiiiiiih nilimanisaaa storyNi nini hiyo utanipa uniache roho inapenda
hapo sawa na ninavyopenda sasa storyYereeeewiiiiiih nilimanisaaa story
Watajijua wenyewe mimi siwafuatilii bali nafuatilia mambo yangu ya maishaUmenena vyema ....alafu nilichokugundua muanzisha uzi hakuwa na lengo kama hawa waliodandia uzi wake wanavosema ......
kweli kabisaWatajijua wenyewe mimi siwafuatilii bali nafuatilia mambo yangu ya maisha
Niwashauri tu kama wanatuzungumzia sisi msiende kujibizana nao kamwe
Siku zote kuwazungumzia wajinga nawe utaonekana mjinga
..........
Pia uzi wa dizaini hiyo sio wa kwanza na wala hautakuwa wa mwisho lakini sisi always huwa tunafanya yetu tu bila kuangalia wao wanafanya niniHatuna mpango kushindana na mtu yaani hata uzi huu uwe na kapage kamoja kwa siku ni sawa tu hatupost makorokoro eti ili sijui ujae
Lengo letu kuu ni
1/kudumisha urafiki yaani kupiga stori n.k
2/Kujazana maarifa siyo maLIKE mfano kupeana ushauri
Hivyo kama kuna wstu wanashindana na huu uzi ni juu yao sisi hatujishughulishi nao bali tuna shughuli zetu(kazi ofisini,biashara kuchuufugaji,kilimo n.k)
Humu kumejaa wasomi kibao
Know this
...........
AmenMkuu lakini sisi hatushindani na kundi/uzi lolote/ wowote
Kapuku tupo tumejaa teleeeeee...
Hebu weka picha
TushamueleweshaPia uzi wa dizaini hiyo sio wa kwanza na wala hautakuwa wa mwisho lakini sisi always huwa tunafanya yetu tu bila kuangalia wao wanafanya nini
Napita tu hapaNi nini hiyo utanipa uniache roho inapenda