Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
hahahhah anatumia mama mchuchuTtcl
hahahhah anatumia mama mchuchuTtcl
sasa shemela kama umejikubali kuwa lonely mana yake niniiAisee duh![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Wanawake hawa wa kuokotelezewa mitandaoni hujajifunza tu? Safari hii kuwa ngangari acha udomozege tafuta mwenyewe hata akikushinda unajua kwamba ni matunda yako na juhudi zako. Hawa wa kupewa hawa - hasa ukizingatia kuwa jamaa aliyekupa ulikuwa unazengea mkewe hapo mwanzo - yaweza kuwa ulikuwa mtego ili kukuumiza. Jichunge ma braza na nina uzoefu na haya mambo. Usiingie tena katika mtego ule ule. Huna moyo wa jiwe ati!Nishapoa
Sasa shunie eh nifanyie fanyie kampango kengine![]()
![]()
nimeacha hizo mambo mie sitaki kabisa kila atumie mbinu zake kama domo zege poyeee
yalaahYou are growing up...fast!!!Am proud to be lonely![]()
![]()
Wanawake hawa wa kuokotelezewa mitandaoni hujajifunza tu? Safari hii kuwa ngangari acha udomozege tafuta mwenyewe hata akikushinda unajua kwamba ni matunda yako na juhudi zako. Hawa wa kupewa hawa - hasa ukizingatia kuwa jamaa aliyekupa ulikuwa unazengea mkewe hapo mwanzo - yaweza kuwa ulikuwa mtego ili kukuumiza. Jichunge ma braza na nina uzoefu na haya mambo. Usiingie tena katika mtego ule ule. Huna moyo wa jiwe ati!

Theoretically yes...Practically no! Umekariri ile ile Fizikia ya Form II eti matter can neither be created nor destroyed. My man Albert Einstein might have something different to say about thatLove cant be destroyed ...just transmitted from one to another



Why???You are growing up...fast!!!
ZABURI 29
BABA asante kutufikisha muda huu ,tunaomba ulinzi wako nyumba zetu,vitanda vyetu pawepo vituo vya malaika walinzi tujalie kuiona kesho kwa utukufu wa jina lako takatifu Damu ya Yesu itufunike sawasawa na mapenzi yako,tuonaomba toba na rehema kwa yote tuliyoenda kinyume na mapenzi yako.

Hahahahahahahhah anatumia mama mchuchu
UbarikiweUsiku mwema makapuku wote
Shedede, unauliza majibu kwenye mtihani usio na maswali? Come on man!Why???
Yaani binamu yako ana akili sana, habari za cheusi mangala alishakupotezea kabisa, kisa kuhesabu![]()
![]()
![]()
Sisi ndio wahamiaji haramu![]()
![]()
![]()
![]()
he he msalimie geisha