BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Kadogo kweli
Kadogo kweli
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo,asante sana mkuuUbarikiwe sana BlessedHope tunatambua umuhimu wa uwepo wako katika family hii ya KF.
hahaha vipiii shemela
mama yangu najua umemiss maua ya mukongo acha nikupe tu yakufarijii mama yangu

Sema madenge. Nina kisa cha kweli cha kusikitisha na kufundisha kuhusu hawa mademu wa mitandaoni. Nitakisimulia siku moja nikiweza.Napenda ru mbwembwe za SHIMBA na msemo wake "Sihitaji demu wa mtandaoni" halafu anawazodoa Husna na Sheds......huwa nachekag balaa
![]()
![]()
![]()
.......
Shemeji kwema? Muzee ya totoz anasemaje? Nina ukiboko gani mi shemeji?![]()
![]()
![]()
yule jamaa kiboko
Nipo kamanda. Nawasoma nawasoma. Couplez za humu zinasemaje?Ipo wapi SHIMBA YA ANGAZA?
Ile Musukuma ya Koromoje imeadimika sana
Oyaa jomba kuja hapa na mtani wako Shedere mutu ya ng'ombe
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
Hivi hii biologia kweli,ni kukosa hofu ya Mungu na kujisahau..kuna siku mkuu Bitoz alielezea jambo kuwa waangalifu sana na vitu vinavyopostiwa(kupiga picha na kupost)kumbukumbu inabaki milele hawa vijana hata kama wanaigiza si kwa umbali huu,Baadhi ya topic za baolojia ziangaliwe tena, na kufanyiwa marekebisho.
Alafu hao naona kama walikua wanashoot movie vile
HOSEA 4
METHALI 22 
mama yangu najua umemiss maua ya mukongo acha nikupe tu yakufarijii mama yangu![]()
Shunie

Kwa sasa wa kulaumiwa ni mitandao. Wewe mzazi hata ujitahidi vipi, mtoto atayaona haya mambo na mabaya zaidi mtandaoni. Porn na uchafu wa kila aina ndiyo hasa unaendesha internet.Nani alaumiwe kwa hâya ?
Hawa ndiyo wanafunzi tunaowafundisha huko shuleni![]()
Mungu atusaidie tufunge,tuombee watoto wote,wadogo zetu,ndugu zetu hakika halibni mbaya sana watoto wakimjua Mungu na wakiwa na hofu ya Mungu Mungu atawaepusha na mengi..it worksKwa sasa wa kulaumiwa ni mitandao. Wewe mzazi hata ujitahidi vipi, mtoto atayaona haya mambo na mabaya zaidi mtandaoni. Porn na uchafu wa kila aina ndiyo hasa unaendesha internet.
Kama alivyogusia mama Mchungaji hapo juu njia pekee ni kuwajengea hofu ya Mungu. Wakimpenda Mungu na kujitambua wao ni nani katika mwili wa Kristo watajiheshimu na hata wakishambuliwa watashinda. Wazazi mna kazi ngumu mno na wenye watoto boarding school muwe macho na muwe karibu sana na vijana wenu. Upo mtindo sasa wavulana wanaingiliana sana kimwili huko mabwenini kwa sababu ndicho wanachokiona huko mitandaoni na kwenye TV. Hata kwa heterosexual relationships kuingiliana kinyume ndiyo "usasa" na yote hii ni katika kujenga ukaribu na hatimaye kuhalalisha tendo hilo hata kwa watu wa jinsia moja.
Hali ni mbaya. Rafiki yangu ana shule yake ya boarding inayoheshimika sana lakini hizi ndizo kesi anazopambana nazo. Tusali bila kukoma!
HaswaaaHuku mwema kabisa dada naona leo umeyakumbuka mataa ya mafyati
Salama kbsaMarahaba mpendwa wangu za uzima![]()
![]()
Hadithi kaweka kwanina ibra mke mwee
Hbr ya uzimaAbeeh mke mwee
Pole baba watoto utankuta nyumbani nakusubiriNzuri mama watoto wangu, ndio narudi hivi, leo foleni kweli, maana sizonje yupo hapo kwetu
anakuita bana me sijuiHadithi kaweka kwani