Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Malipo ni hapa hapa duniani
Malipo ni hapa hapa duniani
Inapendeza
Shukrani kwa "did you know"End![]()
......
Malipo ni hapa hapa duniani
Inapendeza
Poa mdauShukrani kwa "did you know"
Sawa,Poa mdau
Watu leo tupo bize
Tukutane baadaye
........
Sina hakika sana shemela, ila imewekwaD mzima sana shemela hivi story imewekwa leo
Nzuri mama watoto wangu, ndio narudi hivi, leo foleni kweli, maana sizonje yupo hapo kwetuHbr ya muda huu baba watoto wngu
Asante BitozEnd![]()
......
AmenZABURI 116
12.Nimrudishie BWANA nini kwa ukarimu wake wote alionitendea ?
13.Nitakipokea kikombe cha wokovu:Na kulitangaza jina la BWANA.
BABA Asante kwa mchana wa leo asante kwa ukarimu wako,sina cha kukurudishia zaidi ya kukusifu,kukushukuru,kukutukuza na kukuheshimu nawaombea wagonjwa,wenye changamoto mbalimbali wasafiri waangalie kwa wema wako BABA na kuwapa haja za mioyo yakila mmoja Asante BABA kwa wote mahali hapa MAKAPUKU USIWAPUNGUKIE,Waguse ,waponye,wape faraja na matumaini mapya,naomba yote katika jina la Yesu Kristo mpatanishi na mwokozi wetu.Amen
MCHANA MWEMA WAPENDWA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
kinyereziNzuri mama watoto wangu, ndio narudi hivi, leo foleni kweli, maana sizonje yupo hapo kwetu
Lovely anamkumbuka? Mungu mkubwa
Ok!thanks
Thanks bitozEnd![]()
......
Safi sana
Mungu yu mwema kila wakati