Ni jambo jema kuwa mama na mtoto wako salama ila ni hatari kwa usalama wa afya zao. Nadhani kuna kikomo cha safari kwa wajawazito au sheria zinatofautiana kutoka taifa moja hadi jingine?MTOTO ALIYEZALIWA NDANI YA NDEGE APATA SHAVU LA KUSAFIRI BURE ANGANI MAISHA YAKE YOTE
![]()
Shirika moja la ndege la kibinafsi nchini India limemtuku safari za bure mtoto aliyezali ndani ya moja ya ndege zake, iliyokuwa safarini kutoka Saudi Arabia kuelekea nchini India.
Mhudumu mmoja wa ndege, ambaye alikuwa amepata mafunzo ya uuguzi alimsaidia mama kujifungua mtoto umbali ya futi 35,000 angani.
Mama na mtoto wake walipelekwa hospitalini baada ya ndege ya Boeng 737 kutua katika mji wa magharibi wa Mumbai.
Shirika hilo liliiambia BBC kuwa mama na mtoto wake walikuwa katika afya nzuri.
Kampuni iliwashukuru wahudumu kwa kumsadia mama kujifungua salama.
Shirika hilo lililisema kuwa ndiyo mara ya kwanza mtoto kuzaliwa kwenye ndege yake.
Lakini mashirika kadhaa yamekumbanana hali kama hiyo. Wahudumua wa shirika la ndege la uturuki wallisherehekea kuzaliwa kwa mtoto msichana ndani ya ndege mwezi Aprili mwaka huu.
Kweli kabisaaaaAisee wanasayansi hawalali
Shalom QUIGLEYMorning
Wabongo wao wanataka hata leo iwe tayariCHANJO YA MAGONJWA YA MOYO YAVUMBULIWA
Shirika la utafiti wa kisayansi kutoka nchini Netherlands limeanza kufanya majaribio kwa wanadamu ya chanjo ya kupunguza kiwango cha mafuta katika mwili wa mwanaadamu na kwamba endapo utafiti huo utafanikiwa; wana matumaini kuwa chanjo hiyo itakuwa na uwezo wa kuzuia magonjwa ya moyo.
Watafiti hao wameeleza kuwa majaribio yao waliyokwisha kuyafanya dhidi ya panya yanaonesha kwamba chanjo hiyo imefanikiwa kuzuia na kuacha kuimarisha amana ya mafuta katika mishipa ya damu.
Imearifiwa kuwa chanjo hiyo ina uwezo wa kufanya mfumo wa kinga ya mwili kukabiliana na mafuta yasiyohitajika kutoka katika damu.
![]()
Wanasayansi hao wanaamini kuwa chanjo hiyo inaweza kutumika kama njia mbadala wa zilizokuwa za kupunguza mafuta , pamoja na kuwasaidia, mamilioni ya watu ulimwenguni kupambana na mafuta yasiyohitajika mwilini.
Inatarajiwa kuchukua takriban miaka sita ili vipimo hivyo kukamilika.
![]()
Pamoja sana husna mubaAsante mkuu![]()
Uwe na siku njema
Shukrani komrediView attachment 527335Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho Kwa udhamini mnono wa husna muba
Nawatakieni siku njema
Amen shem waneAmen mama BH ubarikiwe nawe
"Naye neno alifanyika mwili akakaa kwetu nasi tukauona utukufu wake
Utukufu km wa mwana pekee atokae kwa baba amejaa na kweli
Raha ya kuzaliwa kipindi cha mwezi mkubwa ndio hiyoMTOTO ALIYEZALIWA NDANI YA NDEGE APATA SHAVU LA KUSAFIRI BURE ANGANI MAISHA YAKE YOTE
![]()
Shirika moja la ndege la kibinafsi nchini India limemtuku safari za bure mtoto aliyezali ndani ya moja ya ndege zake, iliyokuwa safarini kutoka Saudi Arabia kuelekea nchini India.
Mhudumu mmoja wa ndege, ambaye alikuwa amepata mafunzo ya uuguzi alimsaidia mama kujifungua mtoto umbali ya futi 35,000 angani.
Mama na mtoto wake walipelekwa hospitalini baada ya ndege ya Boeng 737 kutua katika mji wa magharibi wa Mumbai.
Shirika hilo liliiambia BBC kuwa mama na mtoto wake walikuwa katika afya nzuri.
Kampuni iliwashukuru wahudumu kwa kumsadia mama kujifungua salama.
Shirika hilo lililisema kuwa ndiyo mara ya kwanza mtoto kuzaliwa kwenye ndege yake.
Lakini mashirika kadhaa yamekumbanana hali kama hiyo. Wahudumua wa shirika la ndege la uturuki wallisherehekea kuzaliwa kwa mtoto msichana ndani ya ndege mwezi Aprili mwaka huu.
Long time brotherMi niko poa kiongozi
Morning QuigleyMorning
Ipo wapi SHIMBA YA ANGAZA?
Ile Musukuma ya Koromoje imeadimika sana
Oyaa jomba kuja hapa na mtani wako Shedere mutu ya ng'ombe
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......

Pamoja sana shemejiAsante kwa magazeti shemeji
Thankss
Njema shemeji za hapo mpakaniShemeji za kuamka