Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
Abeeh mke mweeMke mweee
Abeeh mke mweeMke mweee
AmenZABURI 116
12.Nimrudishie BWANA nini kwa ukarimu wake wote alionitendea ?
13.Nitakipokea kikombe cha wokovu:Na kulitangaza jina la BWANA.
BABA Asante kwa mchana wa leo asante kwa ukarimu wako,sina cha kukurudishia zaidi ya kukusifu,kukushukuru,kukutukuza na kukuheshimu nawaombea wagonjwa,wenye changamoto mbalimbali wasafiri waangalie kwa wema wako BABA na kuwapa haja za mioyo yakila mmoja Asante BABA kwa wote mahali hapa MAKAPUKU USIWAPUNGUKIE,Waguse ,waponye,wape faraja na matumaini mapya,naomba yote katika jina la Yesu Kristo mpatanishi na mwokozi wetu.Amen
MCHANA MWEMA WAPENDWA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()
Huyo dada yupo bize
NdagaTununu kaka Kyala alipo
Baadhi ya topic za baolojia ziangaliwe tena, na kufanyiwa marekebisho.Nani alaumiwe kwa hâya ?
Hawa ndiyo wanafunzi tunaowafundisha huko shuleni![]()
Ubarikiwe sana BlessedHope tunatambua umuhimu wa uwepo wako katika family hii ya KF.ZABURI 116
12.Nimrudishie BWANA nini kwa ukarimu wake wote alionitendea ?
13.Nitakipokea kikombe cha wokovu:Na kulitangaza jina la BWANA.
BABA Asante kwa mchana wa leo asante kwa ukarimu wako,sina cha kukurudishia zaidi ya kukusifu,kukushukuru,kukutukuza na kukuheshimu nawaombea wagonjwa,wenye changamoto mbalimbali wasafiri waangalie kwa wema wako BABA na kuwapa haja za mioyo yakila mmoja Asante BABA kwa wote mahali hapa MAKAPUKU USIWAPUNGUKIE,Waguse ,waponye,wape faraja na matumaini mapya,naomba yote katika jina la Yesu Kristo mpatanishi na mwokozi wetu.Amen
MCHANA MWEMA WAPENDWA MBARIKIWE![]()
![]()
![]()