Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,926
safi mke mwee za wewe apoHbr ya uzima
safi mke mwee za wewe apoHbr ya uzima
picha jamaan msisahauPole baba watoto utankuta nyumbani nakusubiri
Hata kiembe mbuzi na yenye ni vingunguti piaSi ungeelekezwa kyembe mbuzi ndo wanachinja sana mbuzi
PoaNimeita tu mkuu
Mama D wanguuBaba D wangu
....fijoNdaga
Thanks mkuuEnd![]()
......
Umenimis najuaHabari za jioni ndugu
Husna wetu uko poaa ??....fijo
Ha haaa nani kakwambia?Umenimis najua
Shemeji buana usiseme hivyo mi bado shemeji yako tuSema madenge. Nina kisa cha kweli cha kusikitisha na kufundisha kuhusu hawa mademu wa mitandaoni. Nitakisimulia siku moja nikiweza.
Shedede ni mtani wangu sema tu alinichanganya alipoanza ishu za uchawi. Husna ni shemeji for life japo naye kwa sasa anasumbuliwa na binamu (ambaye according to Lee ndiye anastahili kuitwa mzee wa totoz). Hata status ya ushemeji wangu haijulikani tena! Nimeachwa tu nipo nipo...
Asante sana mtumishi...Sisi pia karibu na pole na majukumu
Obe sio mzee Wa totoz wanamsingizia tuShemeji kwema? Muzee ya totoz anasemaje? Nina ukiboko gani mi shemeji?
Hii sasa kesi unaniuziaJimena kaja nenda naye disco mruke majoka
![]()
![]()
![]()
.......

Buheri wa afya hofu kwako tuMzima mkuu
Aminia shemeji shimbaNipo kamanda. Nawasoma nawasoma. Couplez za humu zinasemaje?
Aganza ana mtaji wa watu hatongozeki kwa sasa. Eti penzi litamkolea ateketeze mtaji. Shimba ya Buyenze daima...