Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Pamoja dictatorThankss
Pamoja dictatorThankss
MadengeAu nimechapia?
Mutu flani hivi ya Husna
Sijui waligombanaga wakiwa beach huko naona couple yao imepoa km juisi ya feri
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
......
Atakuwa raia wa India huyo ndege ilikuwa anga la IndiaHapo naona hakudaiwa passport, na je atakuwa raia wa nchi gani
Njema mkuuHabari ya kuamka mkuu
Purukushani tu nduguNipo mkuu tunapishana tu ila we ulikuwa unaingia usiku sana wakati mi nimetoka

nahisi bado wanaihangaikia Visa yangu*






Happy birthday Xanana Gumao1946 - Xanana Gumao anazaliwa.
Ni Rais wa kwanza wa East Timor ( Timor Mashariki )
Happy birthday Lionel Richie1949 - Lionel Richie anazaliwa.
Mwanamuziki mahiri kutoka nchini Marekani.
Pia alikuwepo kwenye kibao cha We are the world cha mwaka 1985 kilichoandaliwa na Michae Jackson " MJ " kwa ajili ya kuchangisha fedha kusaidia Nchi za Africa zilizokumbwa na Ukame na Njaa.
Leo Katika Historia:
- Ni siku ya Kimataifa ya Wakimbizi.
Njema mama JescaPouwaaaaaa VP wewe mkulu
Napenda ru mbwembwe za SHIMBA na msemo wake "Sihitaji demu wa mtandaoni" halafu anawazodoa Husna na Sheds......huwa nachekag balaaMadenge![]()
![]()
![]()
![]()
Humjui shedede kweliiii ??
Tatizo hatutumi akili zetu vizuri,![]()
![]()
Vita huletwa na wana siasa
Vita nyingi duniani zina mkono wa Wazungu km kwenye Blood diamonds Waafrika wanachonganishwa kisha wanauziwa silaha halafu wanauana zen mzungu anajibebea tu almasi maana plan ya kiMangingo imefeli