8/Vikas UppalAlizaliwa huko Haryana India na kuishi maisha mfupi maana alifariki mwaka 2007 akiwa na miaka 21 tu
Hakuwahi kupigwa urefu wake na watu wa kitabu cha Guinness ila vyanzo mbalimbali nchini vilikuwa na rekodi zake
Alifariki dunia huku akiwa bado anarefuka hivyo asingefariki mapema pengine angeweka rekodi ya kipekee
Alikuwa na urefu wa Futi 8 na inchi 3
......
Baba D aliona kuna siku nachat na sakayo hapa
na kwako pia shemelaNawatakieni usiku mwema makapuku wote
Leo mnalala mapemaNawatakieni usiku mwema makapuku wote
Ujue NakusubiriaDaah!hatareee
Km huamini basiMimi siamini eti
Kwahiyo hao ni ndugu ama VP?!** Kibongobongo **
Kuna;
Kitwana na Sunday Manara
Said Sued na Salum Sued
Haruna Moshi, Iddi Moshi na Ally Moshi
Said Dilunga, Abbas Dilunga
Jamhuri Kihwelu, Mwanamtwa Kihwelu, Muhesa Kihwelu na Said Kihwelu
Asante mkuuSoka Segment ( Double S )
Jack Charlton na Bobby Charlton ndio ndugu pekee kutwaa ubingwa wa Kombe la Dunia mwaka 1966.
Haina la ziada jioni njema.
Asante mkuuKapuku Tv..
Nitakuwa na Segment mpya ya Kapuku Tv.
Kapuku Tv itakuwa inakuja na link za Youtube zikiwa na video moja kila siku ;
Video hizo zitakuwa za;
1. Vioja au Comic scene video
2. Michezo
3.mziki
4. Habari za kiasiasa
5. Science
6.n.k
Note;
Zitakuwa ni video fupi za dakika 1 - dakika 5 ili kutokuboa mtazamaji.
Karibuni wakuu.
Nawe pia shemejiNawatakieni usiku mwema makapuku wote
Tulia basi sakayo T ! Unataka kulia hapa mbele ya watu jamaani...
Be strong
Ema katongoEmma Peter
Gebo Peter
Peter Tinno
Nzuri mkuuHabari za humu wakuu
Mzima bosiMzima wewe
Mbombo ngafuNdimkafu kalumbu utwa mbombo
Mbombo jilipoMbombo ngafu
Asante husnaNzuri mkuu