Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Mathias na Florentin ndio mapacha...1. The Pogba Brothers
Paul Pogba - Kiungo wa Man Utd & France.
Florentin Pogba - Beki wa Saint Etienne & Guinea.
Mathias Pogba - Mshambuliaji wa Sparta Rotterdam & Guinea.
Kumbe humu kuna wachamungu wengi
Labda ndo siri ya muelewana,kupendana n.k
Maani nguzo kuu ya dini/imani ni upendo
.....
Whaaaat?OK
See you tomorrow then
AsanteeLeo katika Historia:
Muwe na siku njema, sina la ziada.
Mathias na Florentin wao wamezaliwa Guinea ...Mimi siku zote nilifikiri Pogba wote wamechagua uraia wa Ufaransa
.
.
.
.
Ahsante kwa segment iliyotulia
.......
Asante balozi japo ndo naingia naomba nikifika na kitulia ntatimiza ombi letu kapukuSelimundu ni ugonjwa unaoisumbua dunia nzima , kibaya zaidi unarithiwa
Kama una ndugu/rafiki/mpenzi epuka kumpa stress(kumuudhi) ....akiwa kwenye hali hiyo anaweza kupoteza maisha
Cc Mtaalamu wetu Lee
Tunaomba utupige kadarasa
......
Kweli kabisaTupo/wapo wanaofahamiana nje ya JF
Km kuna mtu "unamkubali" unaweza kumtafuta PM na mkaelewana vizuri tu na pengine kupeana hata # za simu
Kukutana na mtu au kupeana mawasiliano inabaki kuwa uamuzi binafsi wa muhusika
..............
Asante mkuu ...tuko pamoja japo nimechelewaaSoka Segment ( SS )
Leo tuangazie wanasoka ndugu ambao wamecheza soka kwa level ya juu hapa duniani, wanaweza wakawa wamecheza timu moja au timu tofauti lakini mchango wao kwenye vilabu ama timu zao za Taifa ni mkubwa.
Karibuni...
8. Rafael & Fabio da Silva
Mabeki hawa wa Kibrazil ambao waliwahi kukipiga Man Utd ni mapacha haswa wa kufanana kiasi cha kuwachanganya watu wengi wawapo uwanjani.
I'm waitingKapuku Tv..
Nitakuwa na Segment mpya ya Kapuku Tv.
Kapuku Tv itakuwa inakuja na link za Youtube zikiwa na video moja kila siku ;
Video hizo zitakuwa za;
1. Vioja au Comic scene video
2. Michezo
3.mziki
4. Habari za kiasiasa
5. Science
6.n.k
Note;
Zitakuwa ni video fupi za dakika 1 - dakika 5 ili kutokuboa mtazamaji.
Karibuni wakuu.
Ameshastaafu soka. Fainali Bayern alifungwa na InterHivi Diego yuko wapi siku hizi?
Manake nakumbuka kichapo Barca walichopata Fainali ambayo mourinho alichukua...
Oooh! Asante mkuu kwa masahihisho.Ameshastaafu soka. Fainali Bayern alifungwa na Inter
Alikipiga sana Rangers!Walikuwa vizuri sana wawapo uwanjani, Ronald katumia muda mwingi wa soka lake akiwa Scotland
Kwanzaa pesa ni mwana haramu.. Unaweza vipi kubadilishana mwanao na hela!!!!KAPUKU TV LEO
Leo nawaleta Cristiani Ronaldo Jr .
CRJ alizaliwa June 17 2010 jijini San Diego -Marekani
CR junior hamjui mama yake hadi leo, Ronaldo alimpa mimba waiter wa Hotel moja nchini marekani na kumlipa Euro 1omillion sawa na billion 25 za kitanzania.
Sasa video ya hapo chini inaonesha CR junior akiwapiga chenga watoto wa Marcelo wakati wa fainali za Eufa mjini Cardiff.
Cr junior anaminika kuchukua nyayo za Baba yake Cr7 .
Asante babaa... Nimeiona imenifanya niwaze zaidi...Tayari mama...
Leo imeaza michezo..
Nakumbuka hiyo saga!Kuna siku kilitokea kituko sijui Fabio alicheza rafu sasa refs akashindwa kuwatofautisha na kibaya zaidi jezi zinaanza na # 2 akampa kadi Rafael
.......