Makapuku Forum

Makapuku Forum

NUKUU YA LEO

I think soon after i became director of the CIA -President Obama pulled me into the oval office and said "Look, i just want you to know that your top priority is to go after Osama Bin laden

Nadhani mara baada ya kuwa mkurugenzi wa CIA, Rais Obama aliinita mimi kwenye ofisi yake ya oval na kuniambia " Nakata ujue kuwa wewe ndie mtu mwenye kipaumbele kikubwa kumfatilia Osama Bin laden.

Haya ni maneno aliyotamka mwanasheria, mwanausalama na mkurugenzi wa zamani wa CIA, Bwana Leon Panetta aliezaliwa mwezi June 28 1938, jijini carlifonia akiwa ni mzaliwa wa wazazi wenye asili ya kiitaliano.

Panetta, baada ya kumaliza chuo kikuu alienda jeshini ya kufanya kazi katika kitengo cha intelijesia ya jeshi kwa miaka 2 kabla ya kutoka jeshini na kujiunga katika ulingo wa siasa.

Uelewa, haiba na ujasiri aliokuwa nao panetta ndio nguzo kubwa za mafanikio yake katika utumishi wa umma kwa muda wote aliofanya kazi ya serikali ya marekani.

Baada ya uteuzi wake mwezi january mwaka 2009, kuliibuka minong,ono mingi juu ya uwezo wake na nafasi aliyopewa ya ukurugenzi wa taasisi nyeti katika usalama wa marekani yaani CIA-Director. Wengi waliaamini utumishi wake wa miaka 2 kama afisa wa intelijensia jeshini usingetosha kuhimili mikikimikiki ya CIA.

Lakini pia ikumbukwe Panetta alikuwa White House Chief of staff, yaani ni msimamizi wa watumishi wa ikulu, mara nyingi anakuwepo kwenye morning breafing ya hali ya usalama kwa rais. Kuwepo katika vikao hivi kuliweza na kulitosha kabisa kumpa uzoefu Panetta , kupitia hivi aliweza kujua siri nyingi na mambo mengi ya kiusalama kuhusu taifa la marekani.

Kama ambavyo Watanzania walipiga kelele baada ya uteuzi wa Dr. Modestus Kapilimba kuteuliwa kuwa mkurugenzi wa TISS ndivyo wamarekani walivyopiga kelele uteuzi wa Leon Panetta. Dr Kapilimba kafanya kazi sana BOT na idara iliyokuwa inashughulikia vitambulisho vya taifa NIDA bila kujua ni undercover agent wa TISS leo hii yeye ndio Top icon ya Tiss,hii ndio tabia ya jamii ya kijasusi

Turudi kwa Panetta, pamoja na watu kuwa na wasiwasi juu ya uwezo wake tayari Obama alishampa assignment ambayo wengi walipwaya na kufanya vibaya..

View attachment 526982 Leon Panetta akiwa na Rais ObamaView attachment 526983 Leon Panetta akiwa na Dianne Fienstein aliyekuwa akipinga uteuzi wake.

Itaendelea.......

Wakati mwingine jongoo hubadilika na kuwa nyoka.
Shukrani mkuu Transcend kwa nukuu

Itaendelea lini?
 
FIFA CONFEDERATION CUP
8e6940616a3bc8d6e4dc80675a68db42.jpg
 
15. Michael na Brian Laudrup
Hawa ni Wadenmark ambao waliacha mchango mkubwa na kufanya waheshimike sana katika nchi yao kwa kusaidia taifa lao kutwaa taji la Ulaya la mwaka 1992 maarufu kama Euro 92.

Michael alitamba akiwa na Ajax, Real Madrid na Barcelona, mdogo wake alitamba akiwa na Bayern Munich, Ac Milan, Chlesea, Ajax na Rangers ya Uskochi.

2052e0fcd53924a3f5cfcc8ed229ba56.jpg
BUnFra7CYAEGwsH.png

michael_brian-laudrup-1533319.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom