Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
MkuuSalama wakuu
MkuuSalama wakuu
ShukraniLeo katika Historia:
Niwatakie jumapili njema.
NakuonaaaMijichoo km mjusi kabanwa na mlango![]()
Shukrani baba watoto uwe na jumapili njema piaView attachment 526172Kutoka magazetini sina la ziada, nawatakieni jumapili njema
Nipo mmNiko alone here
MweeeShukrani baba watoto uwe na jumapili njema pia
Huyo ndo Husna
Ukizoeana nae anakuchukulia mume na hakurudishii tena
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.....

Hongera sana Amelia1928 - Amelia Earhart anakuwa mwanamke wa kwanza kuruka na ndege uelekeo wa Bahari ya Atlantic.
Mhasibu wa Mungu, nasikia aliondoka Italy bila kuaga na kwa hofu ya kuuwawa, akaenda Uingereza wakammaliza huko huko kwa kutengeneza ajali1982 - Mwili wa Mfanyakazi wa Benki toka nchini Italy, Roberto Calvi wakutwa ukining'inia katika daraja la Blackfriars.
Kuna utata mkubwa juu ya nani alihusika na mauaji hayo!
HBD Thabo1942 - Thabo Mbeki anazaliwa.
Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini.
HBD Fabio Capello1946 - Fabio Capello anazaliwa.
Mchezaji na Kocha wa zamani wa Italy.
RIP Fredrick chiluba2011 - Fredrick Chiluba anafariki Dunia.
Rais wa zamani wa Zambia.
Asante kwa leo katika historia mkuuLeo katika Historia:
Niwatakie jumapili njema.
Hbr ya jumapili shemeji yngu pedeshee Lee mutu ya peremendeMweee
Mutu mme ya mrembo shuny ...milioni si pesaaaHbr ya jumapili shemeji yngu pedeshee Lee mutu ya peremende
mutu ya batoto barembo! kwenye uboraOngera sana kwa kumaliza chuo ila ushauri wangu unaweza kuufata au ukasoma ukapotezea
Vijana wengi mnamaliza chuo mkiwa na matumaini ya kuajiriwa moja kwa moja hasa kwenye professionals zenu ni jambo zuri na ni baya pia ...make kiakili hujipambanui na uhalisia wa maisha ...maisha ya chuo ni maisha mazuri ila ni maisha yanayodanganya wengi na pale mnapoagana kila mtu akaenda kivyake muhimu kwa sasa mtabaki kujuliana hali kwenye magroup yenu ya whatsapp ...
Yawezekana wewe uko interested sana na ulichokisomea bhasi fanya hivi kuna kitu muhimu siku hizi vijana mnakikwepa ila ni suluhisho ...KUJITOLEA KATIKA ENEO HUSIKA ...mfano nenda kituo unachopenda we omba kutolea ata usafi mle ndani na kusaidia saidia kazi ndogondogo utaona mwisho wake ...hapa usiwaze pesa kwanza
mimi mfano ninao hai kipindi najifunza umakanika enzi zile niliteseka ila mpaka sasa ni fundi mzuri usiulize fundi wa nini na nakumbuka mdogo wangu alitaka kufanya kazi saloon nikamshauri awe anashinda saloon na kukubali kutumwa na kufagia kwa sasa anamiliki barber shop kubwa mjini
Kupanga ni kichagua mkuu
Kwa raha zakoNiko alone here
Asante mama watoto wangu, uko poa lakiniShukrani baba watoto uwe na jumapili njema pia