Makapuku Forum

Makapuku Forum

463055d48bf5b68d4f57fd934c6336d3.jpg
Huyu kwakweli historia aliyoweka ni kizazi hadi kizazi
 
Hii tabia kweli ni mbaya
Kwanza hakuna mtu anayependa kufa ila kufa ni lazima
Kupost post tu maiti ovyo ni upuuzi
Kuna rafiki yangu mwislamu alinishangaza kwa kupost picha FB akiwa kaka juu ya kaburi la mama yake akiwa na demu wake
Waislamu wenzie walimjia juu kwamba ni kinyume na maandiko na maadili ila jamaa likamwaga povu hatari na kusema ni maisha yake binafsi na wakimfuatafuata atawaBLOCK
.
.
.
.
.
.
Ahsante kwa magazeti mdau
Jumapili Njema
.......
 
Hii tabia kweli ni mbaya
Kwanza hakuna mtu anayependa kufa ila kufa ni lazima
Kupost post tu maiti ovyo ni upuuzi
Kuna rafiki yangu mwislamu alinishangaza kwa kupost picha FB akiwa kaka juu ya kaburi la mama yake akiwa na demu wake
Waislamu wenzie walimjia juu kwamba ni kinyume na maandiko na maadili ila jamaa likamwaga povu hatari na kusema ni maisha yake binafsi na wakimfuatafuata atawaBLOCK
.
.
.
.
.
.
Ahsante kwa magazeti mdau
Jumapili Njema
.......
Sio vizuri, mimi huwa nawashangaa hata wanachukuaga video wakati wa mazishi, sijui huwa niya nini aisee

Pamoja sana bitoz
 
Jamani habari za asubuhi,,, MSAADA jamani maisha mgumu baada ya kumaliza CHUO cha nursing. Nikaa tu cjaajiliwa ujuzi wangu utapotea nisaidieni. Nafasi ya ajira jamani hata ya kuuza duka LA madawa au kituo cha Afya ,,cha serikari au binafsi..... Kwa mawasiliano nicheki APA ..nipo tayari mda wowote.
 
Jamani habari za asubuhi,,, MSAADA jamani maisha mgumu baada ya kumaliza CHUO cha nursing. Nikaa tu cjaajiliwa ujuzi wangu utapotea nisaidieni. Nafasi ya ajira jamani hata ya kuuza duka LA madawa au kituo cha Afya ,,cha serikari au binafsi..... Kwa mawasiliano nicheki APA ..nipo tayari mda wowote.
Mdau tatizo la ukosefu wa ajira ni kubwa
Jaribu tu kufanya shughuli yoyote ile huku ukiendelea kutafuta kuajiriwa

Usikate tamaa ni hali ambayo uwakumba wasomi wengi na kujisikia wanyonge mitaani....wapo ambao husota hata miaka 10 bila kuajiriwa
Hivyo kusubiri tu kuajiriwa ni risk

Karibu tena
......
 
Hii nyimbo imenifanya nipate daku huku nina hisia kali let's think twice how special we're hatujafa hatujambika, kuna watu wanahitaji msaada wetu sio lazima iwe kiasi cha pesa ila upendo wetu kwao na kuwajali ni furaha yao.

Ahsante mtaasisi kwa kuweka wimbo mzuri baadae tukutane kwenye ile mada juu ya wanafunzi wanaopata mimba shuleni.

Tchaoo.

Great! Maoni muhimu kabisa kusomwa asubuhi hii. Baadaye kidogo mtaasisi
 
Jamani habari za asubuhi,,, MSAADA jamani maisha mgumu baada ya kumaliza CHUO cha nursing. Nikaa tu cjaajiliwa ujuzi wangu utapotea nisaidieni. Nafasi ya ajira jamani hata ya kuuza duka LA madawa au kituo cha Afya ,,cha serikari au binafsi..... Kwa mawasiliano nicheki APA ..nipo tayari mda wowote.


Unaujua msamiati mpya katika dunia ya ajira unaoitwa 'kujitolea' /volunteer (au wengine huita internship) . Hapo ulipo una nafasi ya kwenda kwenye ofisi yoyote ya mambo ya afya (duka, zahanati, hospitali nk) onana na mkuu wake umweleze unahitaji kujitolea kufanya kazi. Usiseme unahitaji kulipwa hasa kwa kuwa unalalamika hujapata ajira (ajira=ujira)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom