BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Ubarikiwe sana Mkuu Bitoz maneno muhimu sana kwa maisha jumapili njema![]()
.
.
.
.
Niwatakie J2 Njema yenye baraka
......
Hali mbaya sana nimekuwa ninamgonjwa hapo mpaka nami niliugua,sifahamu wana mpango gani ni manesi na madaktari wamepungua mno siwezi shauri kukimbilia private maana hata mimi mgonjwa wangu alipata rufaa toka private tulikokimbilia huduma bora kuja Muhimbili bora hata tungewahi mapema...Tumuombe Mungu atengeneze njia watu wenye vyeti vyao basi wapelekwe hapoJana ndio nimeshuhudia madhara ya vyeti feki,Muhimbili hospitali hakuna wauguzi wala wahudumu wa kutosha wodi zimejaa kiasi kwamba hao wahudumu waliopo wamezidiwa.
Chondechonde serikali wagonjwa wanakosa huduma na kupelekea kupoteza maisha,suluhisho la haraka linatakiwa.

Adui hasa akiwa mpenzi au mwenza uwe makini ni rahisi kukumaliza![]()
.
.
.
.
Niwatakie J2 Njema yenye baraka
......
ushauri mzuri huu akiufanyia kazi mapema atafanikiwaUnaujua msamiati mpya katika dunia ya ajira unaoitwa 'kujitolea' /volunteer (au wengine huita internship) . Hapo ulipo una nafasi ya kwenda kwenye ofisi yoyote ya mambo ya afya (duka, zahanati, hospitali nk) onana na mkuu wake umweleze unahitaji kujitolea kufanya kazi. Usiseme unahitaji kulipwa hasa kwa kuwa unalalamika hujapata ajira (ajira=ujira)
Swalamaa VP kaka mondSalama wakuu
Hata mi nipoNami nipo eti
Zamani Wikend
Sitokuwa na mengi maana naona Jumamosi inataka kupita bila burudani. Tupate muziki wa zamani kidogo tena wa taratibu..
ebwana nimeipenda hii
Yupo jengo jeupeDuuu sizonjeeee uko waaaapi sizonjeee .....sizonjee nakutafuuta....
Swalamaa VP kaka mond
Ni hatari sanaAdui hasa akiwa mpenzi au mwenza uwe makini ni rahisi kukumaliza
Shukrani mkuuTuwe na siku njema. ..
Mengine tunamwachia Mungu ....![]()
Yupo jengo jeupe

Ndimo mugabo wanjeSaaafi kabisa dada Huss..Ulimo mugole. Wanje
