Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,246
2011 - Fredrick Chiluba anafariki Dunia.
Rais wa zamani wa Zambia.
Rais wa zamani wa Zambia.
RIP Fredrick Chiluba2011 - Fredrick Chiluba anafariki Dunia.
Rais wa zamani wa Zambia.
HBD Pierre Emerick Aubameyang1989 - Pierre Emerick Aubameyang anazaliwa.
Straika wa Borussia Dortmund na timu ya taifa ya Gabon.
HBD Uday Hussein1964 - Uday Hussein anazaliwa.
Mtoto wa kiongozi wa zamani wa Iraq, Saddam Hussein.
Alifariki mwaka 2003 baada ya mapambano makali na jeshi la Marekani.
HBD Fabio Capello1946 - Fabio Capello anazaliwa.
Mchezaji na Kocha wa zamani wa Italy.
Nawe pia mkuuLeo katika Historia:
Niwatakie jumapili njema.
HBD Thabo Mbeki1942 - Thabo Mbeki anazaliwa.
Rais wa zamani wa Afrika ya Kusini.
HBD Barack Obama Sr.1936 - Barack Obama Sr anazaliwa.
Alikuwa ni baba mzazi wa Rais aliyepita wa Marekani, Barack Obama Jr.
RIP Roberto Calvi1982 - Mwili wa Mfanyakazi wa Benki toka nchini Italy, Roberto Calvi wakutwa ukining'inia katika daraja la Blackfriars.
Kuna utata mkubwa juu ya nani alihusika na mauaji hayo!
AsanteMfungo 23 leo hivyo bado siku 6 au 7, Ramadhan Kareem
AsanteeeView attachment 526172Kutoka magazetini sina la ziada, nawatakieni jumapili njema
Mijichoo km mjusi kabanwa na mlango

Pamoja mdauBonge la ubunifu
.
.
.
.
Ahsante kwa facts zilizonitoa tongotongo za asubuhi
......
Ongera sana kwa kumaliza chuo ila ushauri wangu unaweza kuufata au ukasoma ukapotezeaJamani habari za asubuhi,,, MSAADA jamani maisha mgumu baada ya kumaliza CHUO cha nursing. Nikaa tu cjaajiliwa ujuzi wangu utapotea nisaidieni. Nafasi ya ajira jamani hata ya kuuza duka LA madawa au kituo cha Afya ,,cha serikari au binafsi..... Kwa mawasiliano nicheki APA ..nipo tayari mda wowote.