Makapuku Forum

Makapuku Forum

e10665caf1bdb9e1fc82a8c46ecbd673.jpg
 
Jana ndio nimeshuhudia madhara ya vyeti feki,Muhimbili hospitali hakuna wauguzi wala wahudumu wa kutosha wodi zimejaa kiasi kwamba hao wahudumu waliopo wamezidiwa.
Chondechonde serikali wagonjwa wanakosa huduma na kupelekea kupoteza maisha,suluhisho la haraka linatakiwa.
 
Jana ndio nimeshuhudia madhara ya vyeti feki,Muhimbili hospitali hakuna wauguzi wala wahudumu wa kutosha wodi zimejaa kiasi kwamba hao wahudumu waliopo wamezidiwa.
Chondechonde serikali wagonjwa wanakosa huduma na kupelekea kupoteza maisha,suluhisho la haraka linatakiwa.
Duuu sizonjeeee uko waaaapi sizonjeee .....sizonjee nakutafuuta....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom