Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Pamoja..upo sahihi mkuu amna correction kwenye maelezo yako
Pamoja..upo sahihi mkuu amna correction kwenye maelezo yako
Sana mkuu..![]()
Pia Ujinga/ujanja huufanyao leo unaweza kukugharimu kesho
![]()
![]()
![]()
......
HahahaMbona yale maneno yako ukiniandikia huwa unaandika page nzima lakini baby?
Hahahanaona wasikiweke tu, nahisi jf nzima utakuwa unasikika wewe tu
HahaaaaHahaha
Ulishachunguza huwa naandika muda gani?????!
Kuna wakati naandika mistari miwili tuu


Kwani uongooHahaaaa![]()
Nimechanganya madesaMapung'o yuko kwenye timu ya gazeti LA bongo hiyo team hapo ni ya kwenye gazeti LA sani
Zamani Wikend
Sitokuwa na mengi maana naona Jumamosi inataka kupita bila burudani. Tupate muziki wa zamani kidogo tena wa taratibu..
Uko vizuriiMapung'o yuko kwenye timu ya gazeti LA bongo hiyo team hapo ni ya kwenye gazeti LA sani
hahah kumbe nimekupatia! ebu na wewe jaribu kufurahisha wenzakoHahaha
Umejua kunifurahisha jamani

Umeonaaa binamuAcha tu braza, fitina zilizopigwa humu kaamua kukomea njiani, ila nashukuru fanta orange nimepata. Hii dunia kuna watu ni ndugu kabisa lakini ndo wa kwanza kukuwekea kauzibe kwenye mambo ya msingi
Rudisha tunguliWakuu habari za saivi??
Husna muba wangu hope yu mzima..
Sijisikii kabisa kuachana na wewe my dear please I beg you kama kuna sehemu nimekosa nisamehe![]()
![]()
![]()
Sawaahahah kumbe nimekupatia! ebu na wewe jaribu kufurahisha wenzako
kweli kabisa!![]()
Pia Ujinga/ujanja huufanyao leo unaweza kukugharimu kesho
![]()
![]()
![]()
......
ShededeWakuu habari za saivi??
Husna muba wangu hope yu mzima..
Sijisikii kabisa kuachana na wewe my dear please I beg you kama kuna sehemu nimekosa nisamehe![]()
![]()
![]()
mkuu habari ya hapa nzuri tu..Wakuu habari za saivi??
Husna muba wangu hope yu mzima..
Sijisikii kabisa kuachana na wewe my dear please I beg you kama kuna sehemu nimekosa nisamehe![]()
![]()
![]()