Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nisaidie kama unaweza mkuu. Hii siyo UF eti unachukua picha na kuposti. Nina mavitabu manne hapa ya reference na maneno mengi kwa Kiswahili hayapo. Nitatimiza ahadi yangu na actually nafikiria pengine niandae post kama 5 ziwe ready kwanza ndo tuende sawa. Isitoshe sina uhakika kama zitapata wasomaji makini hapa ambapo tumezoea kutaniana tu...


Hofu uliyonayo nami ninayo, kuwa na hofu sio mbaya maana ndo akili inachaji. Unachoweza tafuta namna ya kuandika a para or 2 halafu ile mi terminologies irahisishe ili isiwe kama maandiko ya 1960s hapo tutapata wengi washiriki.

Itakuwa ni segment nzuri sana, usiiharakie kwa kuwa tu watu tunauliza. Jipe time ya kufanya kilicho kizuri zaidi. Ni kuongezeana maarifa tu na kuifanya Makapuku kuwa ya kipekee faza
 
Ni kweli mdau
Mi mwenyewe Did You Know ni rahisi kupost
Ila nikitaka kuleta 10 kubwa huwa najipanga na kijasho hunitoka na kutumia masaa hata 2+ mara chache sifikishi masaa mawili
Na kumsaidia Dikteta pia ngumu balaa

Kuandaa makala ni tofauti na kupiga mastori....unaweka tu hata emoji

........

Nakuunga mkono, kuandaa makala hata ya aya moja tu (a sounding/meaningful para) sio kazi rahisi.

Ninapoweka Muziki na Gitaa zile blah blah ninazoandika-ga kabla huwa naandaa masaa si chini ya matatu na hapo ninakuwa-ga na maandalizi ya wiki nzima niandike nini. Kumbuka huwa naandika J3-Ijumaa

Lengo ni kuifanya Makapuku iwe ni sehemu ambayo baada ya kusogoa kidogo basi kunakuwa na vitu vizuri vya afya ya ubongo.

Tukikutana kunywa supu ya utumbo basi sio mara zote mazunguzo yote yawe utumbo na hata yakiwa utumbo ndo maana utumbo tunakula na ndizi.

Makapuku hutembelewa na wengi wenye malengo tofauti na wanakuja huku tu kwa sababu kuna vitu wanavikosa sehemu nyingine, burudani, elimu, ustadi, mahusiano, siasa, sogozi na taja chochote utakipata hapa na bila kuwasahau wahamiaji haramu, makinikia na smelters
 
Nakuunga mkono, kuandaa makala hata ya aya moja tu (a sounding/meaningful para) sio kazi rahisi.

Ninapoweka Muziki na Gitaa zile blah blah ninazoandika-ga kabla huwa naandaa masaa si chini ya matatu na hapo ninakuwa-ga na maandalizi ya wiki nzima niandike nini. Kumbuka huwa naandika J3-Ijumaa

Lengo ni kuifanya Makapuku iwe ni sehemu ambayo baada ya kusogoa kidogo basi kunakuwa na vitu vizuri vya afya ya ubongo.

Tukikutana kunywa supu ya utumbo basi sio mara zote mazunguzo yote yawe utumbo na hata yakiwa utumbo ndo maana utumbo tunakula na ndizi.

Makapuku hutembelewa na wengi wenye malengo tofauti na wanakuja huku tu kwa sababu kuna vitu wanavikosa sehemu nyingine, burudani, elimu, ustadi, mahusiano, siasa, sogozi na taja chochote utakipata hapa na bila kuwasahau wahamiaji haramu, makinikia na smelters
 
Nakuunga mkono, kuandaa makala hata ya aya moja tu (a sounding/meaningful para) sio kazi rahisi.

Ninapoweka Muziki na Gitaa zile blah blah ninazoandika-ga kabla huwa naandaa masaa si chini ya matatu na hapo ninakuwa-ga na maandalizi ya wiki nzima niandike nini. Kumbuka huwa naandika J3-Ijumaa

Lengo ni kuifanya Makapuku iwe ni sehemu ambayo baada ya kusogoa kidogo basi kunakuwa na vitu vizuri vya afya ya ubongo.

Tukikutana kunywa supu ya utumbo basi sio mara zote mazunguzo yote yawe utumbo na hata yakiwa utumbo ndo maana utumbo tunakula na ndizi.

Makapuku hutembelewa na wengi wenye malengo tofauti na wanakuja huku tu kwa sababu kuna vitu wanavikosa sehemu nyingine, burudani, elimu, ustadi, mahusiano, siasa, sogozi na taja chochote utakipata hapa na bila kuwasahau wahamiaji haramu, makinikia na smelters
Kweli mdau
Kutaniani,kubebishana muhimu ila mtu akishusha kitu cha mulisha ubongo afanye kweli

Sio km Shedele alivyotuzuga

......
 
Zifuatazo ni picha/michoro yenye tafsiri/maana mbalimbali

Ukielewa funguka ....usipoelewa kausha
35c0b0fac3107e43f5f2295e317ead41.jpg

....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom