shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Kina mshindo, ngoja tusubiriKimya kingii
Kina mshindo, ngoja tusubiriKimya kingii
Mpaka no4 nao wanaoneshaDstv hope select zote zinaonesha
HnyMy swi
Nmekumic pia baba anguNiambie my love, miss you
Niko poaUmeamka salama ??
Sinaaa maaana hiyoo
Nisaidie kama unaweza mkuu. Hii siyo UF eti unachukua picha na kuposti. Nina mavitabu manne hapa ya reference na maneno mengi kwa Kiswahili hayapo. Nitatimiza ahadi yangu na actually nafikiria pengine niandae post kama 5 ziwe ready kwanza ndo tuende sawa. Isitoshe sina uhakika kama zitapata wasomaji makini hapa ambapo tumezoea kutaniana tu...
NiambieGet back my love..
Ni kweli mdau
Mi mwenyewe Did You Know ni rahisi kupost
Ila nikitaka kuleta 10 kubwa huwa najipanga na kijasho hunitoka na kutumia masaa hata 2+ mara chache sifikishi masaa mawili
Na kumsaidia Dikteta pia ngumu balaa
Kuandaa makala ni tofauti na kupiga mastori....unaweka tu hata emoji
![]()
![]()
........
Nilifikiri saa 11
Kumbe saa 12
Tv 1 wanaongea tu now
Russia v New Zealand
Hivyo nimerudi kusogeza muda
...........
Amen nawe piaAsante kwa neno mama mchungaji
Ubarikiwe sana na Bwana wa majeshi
Nakuunga mkono, kuandaa makala hata ya aya moja tu (a sounding/meaningful para) sio kazi rahisi.
Ninapoweka Muziki na Gitaa zile blah blah ninazoandika-ga kabla huwa naandaa masaa si chini ya matatu na hapo ninakuwa-ga na maandalizi ya wiki nzima niandike nini. Kumbuka huwa naandika J3-Ijumaa
Lengo ni kuifanya Makapuku iwe ni sehemu ambayo baada ya kusogoa kidogo basi kunakuwa na vitu vizuri vya afya ya ubongo.
Tukikutana kunywa supu ya utumbo basi sio mara zote mazunguzo yote yawe utumbo na hata yakiwa utumbo ndo maana utumbo tunakula na ndizi.
Makapuku hutembelewa na wengi wenye malengo tofauti na wanakuja huku tu kwa sababu kuna vitu wanavikosa sehemu nyingine, burudani, elimu, ustadi, mahusiano, siasa, sogozi na taja chochote utakipata hapa na bila kuwasahau wahamiaji haramu, makinikia na smelters

Kweli mdauNakuunga mkono, kuandaa makala hata ya aya moja tu (a sounding/meaningful para) sio kazi rahisi.
Ninapoweka Muziki na Gitaa zile blah blah ninazoandika-ga kabla huwa naandaa masaa si chini ya matatu na hapo ninakuwa-ga na maandalizi ya wiki nzima niandike nini. Kumbuka huwa naandika J3-Ijumaa
Lengo ni kuifanya Makapuku iwe ni sehemu ambayo baada ya kusogoa kidogo basi kunakuwa na vitu vizuri vya afya ya ubongo.
Tukikutana kunywa supu ya utumbo basi sio mara zote mazunguzo yote yawe utumbo na hata yakiwa utumbo ndo maana utumbo tunakula na ndizi.
Makapuku hutembelewa na wengi wenye malengo tofauti na wanakuja huku tu kwa sababu kuna vitu wanavikosa sehemu nyingine, burudani, elimu, ustadi, mahusiano, siasa, sogozi na taja chochote utakipata hapa na bila kuwasahau wahamiaji haramu, makinikia na smelters
Game lipo live now ila nimeachana naloHizi saa ni za wakati gani mdau kwa ukanda wetu? Unaweza kuziweka katika masaa 24 ili kufaidisha wengi
Ndo kila mtu anafanya kitu kwa mapenzi ndo maana hatulipuilipuiSana kaka.!
Kama Nukuu zingine inabidi uende library kabisaa...
Ukiwa shallow utadanganya Umma![]()
sana shemelaUlifanya jambo jema sana
nataka kwenda nae shemela kumuona binamuAtakujulisha tu, au unataka kwenda naye