shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Hali ya hewa inaruhusuMnakimbia nyoteee
Hali ya hewa inaruhusuMnakimbia nyoteee
Asante shemela, nawe piamuwe na mchana mwemaa badae Yesu awalinde
MkuuBaridi vipi?
Aisee haaaaahaaaa
Kwani ulimpatia pm?Aliifungaa baada kupata mme
Sijakupata mwishoni...but anyway let's waitNisaidie kama unaweza mkuu. Hii siyo UF eti unachukua picha na kuposti. Nina mavitabu manne hapa ya reference na maneno mengi kwa Kiswahili hayapo. Nitatimiza ahadi yangu na actually nafikiria pengine niandae post kama 5 ziwe ready kwanza ndo tuende sawa. Isitoshe sina uhakika kama zitapata wasomaji makini hapa ambapo tumezoea kutaniana tu...
Asante kwa neno mama mchungajiWARUMI 8
31 Basi tuseme nini juu ya hayo MUNGU akiwa upande wetu ni nani atakuwa juu yetu?
32 Yeye asiyemwachilia Mwana wake mwenyewe bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote. Atakosaje kutukirimia mambo yote pamoja naye
33 Ni nani atakayewashitaki wateule wa MUNGU? MUNGU ndiye mwenye kuwahesabia haki
34 Ni nani. atakaye wahukumia adhabu? Kristo Yesu ndiye aliyekufa naam; na zaidi ya hayo amefufuka katika wafu yuko mkono wa kuume wa MUNGU tena ndiye anayetuombea
35Ni nani atakaye tutenga na upendo wa Kristo? Je! Ni dhiki au shida, au adha, au njaa, au uchi, au hatari, au upanga?
36 Kama ilivyoandikwa, ya kwamba, kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, na tumehesabiwa kuwa kama kondoo wa kuchinjwa
37 Lakini katika mambo yote hayo tunashinda, zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda
38 Wala yaliyo juu wala yaliyo chini wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenganisha na upendo wa MUNGU Ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu
MUNGU ANATUPENDA SANA NDIO MAANA TUPO MPAKA MUDA HUU HAKUNA CHA KUTUTENGANISHA NAE TUKAZE MWENDO TUMSHUKURU TUMPENDE ANATUPA KUSHINDA
KILA WAKATI. MBARIKIWE MCHANA MWEMA
![]()
![]()
Tangu lini aiseeShimba ya aganza
Wee jana hujaona analalamika eti mm bosy nambaniaTangu lini aisee
Thanks bitoz, hii inaukweli?End![]()
.......
Hahaa...Wanafanya kisiriii si unajua bwana shimba alikuwa shemu
Unaona watu wanapiga jalamba mpaka huku kapuku kumtafuta shunie, muke ya pedesheeKwani kweli umefunga PM?
Au kuna pipo zilikukorofisha
......
Nambie T wa ST wa S
Unamjua mumewe pedeshee muzee ya totoz au unamsikiaga tu? Kwa wivu Honey badger (nyegere) cha mtoto![]()
![]()

Hivi kumbe la mabara ratiba imekaa vipiKasimu kangu kimeo
Sawa mdau
.....
Za shareholdersZip mkuu
Haijawa rasmi lakiniKumbeeeee!
I was not aware! Another couple in town
Kwa sasa ni nyingiIla sio zote...!