Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Hataree...Ni kweli mdau
Mi mwenyewe Did You Know ni rahisi kupost
Ila nikitaka kuleta 10 kubwa huwa najipanga na kijasho hunitoka na kutumia masaa hata 2+ mara chache sifikishi masaa mawili
Na kumsaidia Dikteta pia ngumu balaa
Kuandaa makala ni tofauti na kupiga mastori....unaweka tu hata emoji
![]()
![]()
![]()
........
Yaani kama unatupia kitu humu lazima uchimbe kwanza..
Mimi Nukuu huwa inakuwa rahisi kama ni mtu niliyekwisha fanya reasearch yake..
Wengi nimesoma vitabu vyao na Articles zao
tumaini
