Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ni kweli mdau
Mi mwenyewe Did You Know ni rahisi kupost
Ila nikitaka kuleta 10 kubwa huwa najipanga na kijasho hunitoka na kutumia masaa hata 2+ mara chache sifikishi masaa mawili
Na kumsaidia Dikteta pia ngumu balaa

Kuandaa makala ni tofauti na kupiga mastori....unaweka tu hata emoji

........
Hataree...

Yaani kama unatupia kitu humu lazima uchimbe kwanza..

Mimi Nukuu huwa inakuwa rahisi kama ni mtu niliyekwisha fanya reasearch yake..

Wengi nimesoma vitabu vyao na Articles zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom