Makapuku Forum

Makapuku Forum

Namuombea sana na wote nawaombea tuko kwenye ulimwengu ambao unahitaji maombi sana Mungu atusaidie kuondoa vifungo vya magonjwa umaskini ajali uchawi chuki mafarakano upweke kukosa kazi kukosa uzazi kukosa wenza na mengi ambayo hayaelezeki publicly tuombeane
Kweli kabisa mama mchungaji
 
Nisaidie kama unaweza mkuu. Hii siyo UF eti unachukua picha na kuposti. Nina mavitabu manne hapa ya reference na maneno mengi kwa Kiswahili hayapo. Nitatimiza ahadi yangu na actually nafikiria pengine niandae post kama 5 ziwe ready kwanza ndo tuende sawa. Isitoshe sina uhakika kama zitapata wasomaji makini hapa ambapo tumezoea kutaniana tu...
Ni kweli mdau
Mi mwenyewe Did You Know ni rahisi kupost
Ila nikitaka kuleta 10 kubwa huwa najipanga na kijasho hunitoka na kutumia masaa hata 2+ mara chache sifikishi masaa mawili
Na kumsaidia Dikteta pia ngumu balaa

Kuandaa makala ni tofauti na kupiga mastori....unaweka tu hata emoji

........
 
Cheki majibu ninayopewa niki pm
90b38f1bd77e619f7fc6826c2e08ef20.jpg
Aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom