Makapuku Forum

Makapuku Forum

Namuombea sana na wote nawaombea tuko kwenye ulimwengu ambao unahitaji maombi sana Mungu atusaidie kuondoa vifungo vya magonjwa umaskini ajali uchawi chuki mafarakano upweke kukosa kazi kukosa uzazi kukosa wenza na mengi ambayo hayaelezeki publicly tuombeane
Ameeen mamy, naomba niwe wa kwanza kwenye hayo maombi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom