Makapuku Forum



Kumekucha poa tu
 
Kenya walitegemea sana mahindi ya Tanzania nadhani yamezuiwa sana
 
Poleni Uingereza kwa ajalibya moto RIP MAREHEMU WOTE
 
Hongera Size Eight
 
Aisee umenichekesha kweli. Eti mtaji tutaumaliza. Siyo kweli. Mwambie mi nitamwongezea mtaji bana na nitaifanya biashara yake iwe modern, na hata ikibidi International mpaka huku Koromije ifike. Hisa zako zitapanda maradufu!
 
Hizo chanel zina maarifa ya hali ya juu sana
 
Tukubali tusikubali TV zimechangia kwa kiasi kikubwa kushuka kwa maadili,malezi kuwa njia panda watoto wanalelewa na TV,NA ZIPO SERIESVzinafundishavumagharibi ujeuri,ubabe,ushoga,uhuni,ujambazi,matumizi mabaya ya madawa,watoto kutoshiriki,kazi za nyumbani....hakika Mungu atusaidie wazazi kujua mbinu mbadala za kuwajenga watoto maana hata ukiwachapa hawaelewi mtoto anaweza kukupeleka polisi...ndiyo kuna watu wamepelekwa polisibna watoto wa kuwazaaa ..Tuombe Roho Mtakatifu atuongoze
 
Kweli kabisa mama mchungaji
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…